Kumekuwa na majina yasiyo rasmi na yasiyotambulika na umoja wa mataifa ya nchi mbalimbali ambayo yanatumika kwa wingi hapa nchini.
Mfano kama ifuatavyo;
1. Marekani (United States)
2.Uingereza( United Kingdom)
3.Msumbiji (Mozambique)
4.Misri (Egypt)
5.Uholanzi (holland)
6.Uturuki (Turkey)
N.K:
Nchi kama South Africa inaeleweka kwani imetafsiriwa kiswahili (Afrika Kusini).
Nafikiri Marekani ingeitwa tu ( Muungano wa majimbo ya Amerika) kwa tafsiri sahihi. n.k.
Ingekuwaje Tanzania ambayo jina lake limetokana na Tanganyika na zanzibar mtu aibuke tu na kuiita (UTANZANYANI). Kweli tungemwelewa mtu huyo.
Na haya majina yamesajiliwa na umoja wa mataifa ni kwa nini na ni nani aliyaharibu?
Mfano kama ifuatavyo;
1. Marekani (United States)
2.Uingereza( United Kingdom)
3.Msumbiji (Mozambique)
4.Misri (Egypt)
5.Uholanzi (holland)
6.Uturuki (Turkey)
N.K:
Nchi kama South Africa inaeleweka kwani imetafsiriwa kiswahili (Afrika Kusini).
Nafikiri Marekani ingeitwa tu ( Muungano wa majimbo ya Amerika) kwa tafsiri sahihi. n.k.
Ingekuwaje Tanzania ambayo jina lake limetokana na Tanganyika na zanzibar mtu aibuke tu na kuiita (UTANZANYANI). Kweli tungemwelewa mtu huyo.
Na haya majina yamesajiliwa na umoja wa mataifa ni kwa nini na ni nani aliyaharibu?