Nani aliyeidhinisha ujenzi wa Makao Makuu ya Mabasi ya Mwendokasi (DART) pale Jangwani?

Nani aliyeidhinisha ujenzi wa Makao Makuu ya Mabasi ya Mwendokasi (DART) pale Jangwani?

sos_10

Member
Joined
Jun 23, 2024
Posts
7
Reaction score
21
Huwa najiuliza hivi aliyeidhinisha ujenzi wa makao makuu ya Mwendokasi pale jangwani, Kando ya mto Msimbazi ambapo mvua ikinyesha panageuka kuwa makao makuu ya vyura na kambare ndiye huyohuyo anayepiga marufuku wananchi kujenga 'mabondeni' Na ndiye huyuhuyu anayepanga kujenga karakana ya Mwendokasi pale Ubungo simu 2000 na kuwahamisha wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao pale baada ya kuona Jangwani hapakaliki.
 
Kipindi hicho inapitishwa, inasemekana kuna mradi tanzu uliokusudiwa kujenga mabomba ya juu kwa juu ili kupitishia maji ya Msimbazi angani hadi baharini.

Labda tuendelee kungoja utekelezaji.
 
Huwa najiuliza hivi aliyeidhinisha ujenzi wa makao makuu ya Mwendokasi pale jangwani, Kando ya mto Msimbazi ambapo mvua ikinyesha panageuka kuwa makao makuu ya vyura na kambare ndiye huyohuyo anayepiga marufuku wananchi kujenga 'mabondeni'! Na ndiye huyuhuyu anayepanga kujenga karakana ya Mwendokasi pale Ubungo simu 2000 na kuwahamisha wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao pale baada ya kuona Jangwani hapakaliki!
bilashaka,
utakua baraza la madiwani katika eneo husika..

hata hivyo bado kuna fursa ya uamuzi huo kubadilishwa na kupelekwa eneo jingine kubwa na zuri zaidi 🐒
 
Huwa najiuliza hivi aliyeidhinisha ujenzi wa makao makuu ya Mwendokasi pale jangwani, Kando ya mto Msimbazi ambapo mvua ikinyesha panageuka kuwa makao makuu ya vyura na kambare ndiye huyohuyo anayepiga marufuku wananchi kujenga 'mabondeni'! Na ndiye huyuhuyu anayepanga kujenga karakana ya Mwendokasi pale Ubungo simu 2000 na kuwahamisha wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao pale baada ya kuona Jangwani hapakaliki!
Ma engineer waliopajenga tu ndiyo wabovu, watu wanajenga baharini itakuwa bondeni.
 
Africa akili ndogo inaongoza akili kubwa Cha msingi connection.
Usishangae HKL kuwa engineer this is Africa.
Juzi hapa waziri wa ujezi kakuta msimamiz wa ujezi wa barabara kasomea philosophy Sasa unajiuliza anawaeleza nin mafund.

NB. Africa mchawi connection
 
Back
Top Bottom