Nani aliyeua kiwanda cha general tyre Arusha?

TIASSA

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
2,926
Reaction score
3,530
Juzi nilikuwa natembea maeneo ya njiro arusha nikaona kile kiwanda chetu cha Matairi ya magari kimeota majani na hakuna uzalishaji tena.. Najiuliza nini na ninani hasa aliyepelekea kufaa kwa kiwanda chetu hiki
 
kuna vigogo flani iv(naogopa kuwataja) wana tenda Ya kuagiza tyre kenya ndo wachawi wa general tyre
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…