TIASSA JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 2,926 Reaction score 3,530 Aug 23, 2014 #1 Juzi nilikuwa natembea maeneo ya njiro arusha nikaona kile kiwanda chetu cha Matairi ya magari kimeota majani na hakuna uzalishaji tena.. Najiuliza nini na ninani hasa aliyepelekea kufaa kwa kiwanda chetu hiki
Juzi nilikuwa natembea maeneo ya njiro arusha nikaona kile kiwanda chetu cha Matairi ya magari kimeota majani na hakuna uzalishaji tena.. Najiuliza nini na ninani hasa aliyepelekea kufaa kwa kiwanda chetu hiki
nimechafukwa JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 288 Reaction score 230 Aug 23, 2014 #2 kuna vigogo flani iv(naogopa kuwataja) wana tenda Ya kuagiza tyre kenya ndo wachawi wa general tyre