Genetics za Peter Msigwa hiziPunguza shobo itakusaidia kuepuka aibu ndogo ndogo
Kiherehere kwani nao ni ugonjwa ndugu ?Salaam wanajamvi!
Wa baadu!
Wilaya ya Liwale, Lindi ni miongoni mwa wilaya zinazonufaika na huduma ya miaka mitatu ya Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).
Liwale kwa sasa imekuwa Jamii mseto (multi-ethnic) kwani kupitia wafanya kazi wa MSF, tuna wazungu, wa Asia n.k
Nilikuwa nikisikia kwa baadhi ya wateja wa hospitali ya Wilaya kuwa wazungu mara kadhaa wamekuwa wakionesha dharau kwa wenyeji ila sikuamini.
Juzi nikiwa mapokezi ya Hospitali ya Wilaya, alikuja mzungu (mdada) akasimama karibu na nilipoketi, hakuna salamu na akanigeuzia mgongo. Wateja wenzangu pale mapokezi walimtazama kwa kumshangaa yule dada mzungu aliyeonekana kukosa uungwana.
Nikaona isiwe tabu kwani salamu shingap, wacha nimaalimie mimi. Mambo yakawa hivi:
Maalim: Habari gani ( huku nikimpungia mkono)
Mzungu:........ (kimyaaaa)
Maalim : Habari gani !
Mzungu: [Kwa ukali]...
If someone turns her back to you, it means she doesn't want to say hello....
Maalim: I'm very sorry madam.
Mzungu: .....[ akaondoka pale kwa hasira].
Sasa wadau naomba kujua ikiwa mimi ndio nimemkosea mzungu kwa kukiuka itifaki za salamu kama alivyonieleza au ni mzungu ndiye aliyenikosea?
Wazungu wengi mademu hawana takle labda aminye mfupaulitakiwa umtie kofi la takle alafu ulibinye, sidhani kama alikuwa anahitaji salamu, na ndio maana aliondoka Mkuu, next time mzungu akija bila salam akasimama mbele yako we mshike takle, binya kama unakamua mawese, visa na Safari huanzia hapo.
Kosa ni kutokuwa na rasta,anza kufuga halafu mrudie. Anyway,jifunze kuacha shoboSalaam wanajamvi!
Wa baadu!
Wilaya ya Liwale, Lindi ni miongoni mwa wilaya zinazonufaika na huduma ya miaka mitatu ya Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).
Liwale kwa sasa imekuwa Jamii mseto (multi-ethnic) kwani kupitia wafanya kazi wa MSF, tuna wazungu, wa Asia n.k
Nilikuwa nikisikia kwa baadhi ya wateja wa hospitali ya Wilaya kuwa wazungu mara kadhaa wamekuwa wakionesha dharau kwa wenyeji ila sikuamini.
Juzi nikiwa mapokezi ya Hospitali ya Wilaya, alikuja mzungu (mdada) akasimama karibu na nilipoketi, hakuna salamu na akanigeuzia mgongo. Wateja wenzangu pale mapokezi walimtazama kwa kumshangaa yule dada mzungu aliyeonekana kukosa uungwana.
Nikaona isiwe tabu kwani salamu shingap, wacha nimaalimie mimi. Mambo yakawa hivi:
Maalim: Habari gani ( huku nikimpungia mkono)
Mzungu:........ (kimyaaaa)
Maalim : Habari gani !
Mzungu: [Kwa ukali]...
If someone turns her back to you, it means she doesn't want to say hello....
Maalim: I'm very sorry madam.
Mzungu: .....[ akaondoka pale kwa hasira].
Sasa wadau naomba kujua ikiwa mimi ndio nimemkosea mzungu kwa kukiuka itifaki za salamu kama alivyonieleza au ni mzungu ndiye aliyenikosea?
Mwanaume shobo za kazi gani sasa, hiyo fedheha ni haki yakoSalaam wanajamvi!
Wa baadu!
Wilaya ya Liwale, Lindi ni miongoni mwa wilaya zinazonufaika na huduma ya miaka mitatu ya Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).
Liwale kwa sasa imekuwa Jamii mseto (multi-ethnic) kwani kupitia wafanya kazi wa MSF, tuna wazungu, wa Asia n.k
Nilikuwa nikisikia kwa baadhi ya wateja wa hospitali ya Wilaya kuwa wazungu mara kadhaa wamekuwa wakionesha dharau kwa wenyeji ila sikuamini.
Juzi nikiwa mapokezi ya Hospitali ya Wilaya, alikuja mzungu (mdada) akasimama karibu na nilipoketi, hakuna salamu na akanigeuzia mgongo. Wateja wenzangu pale mapokezi walimtazama kwa kumshangaa yule dada mzungu aliyeonekana kukosa uungwana.
Nikaona isiwe tabu kwani salamu shingap, wacha nimaalimie mimi. Mambo yakawa hivi:
Maalim: Habari gani ( huku nikimpungia mkono)
Mzungu:........ (kimyaaaa)
Maalim : Habari gani !
Mzungu: [Kwa ukali]...
If someone turns her back to you, it means she doesn't want to say hello....
Maalim: I'm very sorry madam.
Mzungu: .....[ akaondoka pale kwa hasira].
Sasa wadau naomba kujua ikiwa mimi ndio nimemkosea mzungu kwa kukiuka itifaki za salamu kama alivyonieleza au ni mzungu ndiye aliyenikosea?
Shekhe jaribu kuelewa tamaduni za jamii nyingine, duniani ni Watanzania pekee ndio tuna shobo ya kusalimiana hata kama hamjuani. Jamii nyingine huwa wanapiga kimya tu!!Salaam wanajamvi!
Wa baadu!
Wilaya ya Liwale, Lindi ni miongoni mwa wilaya zinazonufaika na huduma ya miaka mitatu ya Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).
Liwale kwa sasa imekuwa Jamii mseto (multi-ethnic) kwani kupitia wafanya kazi wa MSF, tuna wazungu, wa Asia n.k
Nilikuwa nikisikia kwa baadhi ya wateja wa hospitali ya Wilaya kuwa wazungu mara kadhaa wamekuwa wakionesha dharau kwa wenyeji ila sikuamini.
Juzi nikiwa mapokezi ya Hospitali ya Wilaya, alikuja mzungu (mdada) akasimama karibu na nilipoketi, hakuna salamu na akanigeuzia mgongo. Wateja wenzangu pale mapokezi walimtazama kwa kumshangaa yule dada mzungu aliyeonekana kukosa uungwana.
Nikaona isiwe tabu kwani salamu shingap, wacha nimaalimie mimi. Mambo yakawa hivi:
Maalim: Habari gani ( huku nikimpungia mkono)
Mzungu:........ (kimyaaaa)
Maalim : Habari gani !
Mzungu: [Kwa ukali]...
If someone turns her back to you, it means she doesn't want to say hello....
Maalim: I'm very sorry madam.
Mzungu: .....[ akaondoka pale kwa hasira].
Sasa wadau naomba kujua ikiwa mimi ndio nimemkosea mzungu kwa kukiuka itifaki za salamu kama alivyonieleza au ni mzungu ndiye aliyenikosea?
Mbongo hata hakujui atakuita na jina la kutunga sijui maadili gani hayaShekhe jaribu kuelewa tamaduni za jamii nyingine, duniani ni Watanzania pekee ndio tuna shobo ya kusalimiana hata kama hamjuani. Jamii nyingine huwa wanapiga kimya tu!!
Usiseme dar...Yaani baadhi ya watu kwenye jamii hawakupi support kabisabAada ya kufika chuo na baadae dasilamu nilgundua sio lazima kila mtu usalimiane nae au uzungumze nae
Na kuna wakat unaweza kuwa karibu na kikundi cha watu wanapga story sio lazima uchangie story zao unaweza ukapga kimya tu,maana kuna wajinga wakiwa na mastory yao hata kama unayajua unaweza ukachangia na hata wasikusikilize hii tabia hasa kwa dasilamu
Kwa upande wangu hujakosea mkuu na Wala usiwe na muda wa kujiuliza maswali sana ,Inawezekana tamaduni zao hawapendi kusalimiana na yeye upande wake anajiona Yuko sahihi.Salaam wanajamvi!
Wa baadu!
Wilaya ya Liwale, Lindi ni miongoni mwa wilaya zinazonufaika na huduma ya miaka mitatu ya Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).
Liwale kwa sasa imekuwa Jamii mseto (multi-ethnic) kwani kupitia wafanya kazi wa MSF, tuna wazungu, wa Asia n.k
Nilikuwa nikisikia kwa baadhi ya wateja wa hospitali ya Wilaya kuwa wazungu mara kadhaa wamekuwa wakionesha dharau kwa wenyeji ila sikuamini.
Juzi nikiwa mapokezi ya Hospitali ya Wilaya, alikuja mzungu (mdada) akasimama karibu na nilipoketi, hakuna salamu na akanigeuzia mgongo. Wateja wenzangu pale mapokezi walimtazama kwa kumshangaa yule dada mzungu aliyeonekana kukosa uungwana.
Nikaona isiwe tabu kwani salamu shingap, wacha nimaalimie mimi. Mambo yakawa hivi:
Maalim: Habari gani ( huku nikimpungia mkono)
Mzungu:........ (kimyaaaa)
Maalim : Habari gani !
Mzungu: [Kwa ukali]...
If someone turns her back to you, it means she doesn't want to say hello....
Maalim: I'm very sorry madam.
Mzungu: .....[ akaondoka pale kwa hasira].
Sasa wadau naomba kujua ikiwa mimi ndio nimemkosea mzungu kwa kukiuka itifaki za salamu kama alivyonieleza au ni mzungu ndiye aliyenikosea?
Nakazia, mimi hata aje mkubwa wangu kiasi gani kanikuta yeye na hajatoa salamu simsalimii.Punguza shobo itakusaidia kuepuka aibu ndogo ndogo