Chapa Isimame
Member
- Aug 15, 2018
- 78
- 86
Ni kisiwa kinachopatikana kando kando mwa bahari ya hindi chenye ukubwa wa hekari 16.
Inaaminika kuwa haishi mtu pale toka karne ya 19 hadi leo huku kukiwepo misikiti iliyojengwa toka karne ya 17,mabaki ya vyungu pia makaburi
Ni sababu ipi ilipelekea watu kuhamisha makazi yao katika kisiwa hiki?
Inaaminika kuwa haishi mtu pale toka karne ya 19 hadi leo huku kukiwepo misikiti iliyojengwa toka karne ya 17,mabaki ya vyungu pia makaburi
Ni sababu ipi ilipelekea watu kuhamisha makazi yao katika kisiwa hiki?