Nani amewahi kutumia hizi

Nani amewahi kutumia hizi

Nicko

Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
24
Reaction score
2
Jamani nani amewahi kutumia dawa inayoitwa ngetwa3 au ngoka11? Je ni kweli zinatibu vizuri kama ninavyosikia au uzushi tu.Je zina madhara yoyote?
 
Nakushauri nenda hospital kama unaumwa na watakupatia tiba stahiki.
Hizi mavitu kama wakikwambia katumie ok lakini pata ushauri wa madaktari. I trust professions.
 
Kuna mtu aliwahi kutumia dawa hizo za miti shamba akajikuta m*** yake imesimama non-stop hadi ikabidi apelekwa hospital. Sio kama tunaziundergrade dawa za asili,tatizo ni kwamba hata vile vipimo havina uwiano na havieleweki. Ni kama waragi tu inavyopoteza maisha ya watu huko kwa jirani zetu(Ug.).
 
tatizo ni kwamba nimeshatembea kwenye hospitla nyingi na nimeshindwa kupona..sasa nikaona nijaribu mitishamba.anyway thanks
 
thanks kwa ushauri kaka..ila tatizo ni kwamba nimekunywa sana dawa za hospital lakini bado hali yangu si nzuri.
 
thanks kwa ushauri kaka..ila tatizo ni kwamba nimekunywa sana dawa za hospital lakini bado hali yangu si nzuri.
Omba kwa imani huku ukitumia dawa kwa MUNGU yooooote yanawezekana.
Kwani unasumbuliwa na ugonjwa gani?
 
tatizo ni kwamba nimeshatembea kwenye hospitla nyingi na nimeshindwa kupona..sasa nikaona nijaribu mitishamba.anyway thanks

Inategemea na ugonjwa wako mkuu. Hospitali ndio kuna wataalam. Kama una ngoma, hamna tiba. Omba Mungu atakusaidia
 
Jamani nani amewahi kutumia dawa inayoitwa ngetwa3 au ngoka11? Je ni kweli zinatibu vizuri kama ninavyosikia au uzushi tu.Je zina madhara yoyote?
Kwa vile hujabainisha nini kinachokusibu inakuwa taabu kidogo lakini kama unatatizo ambalo ninalolifikiria [linakuta watu wengi sana lakini hawana ujasiri wa kusema] jaribu supu ya pweza. Wazee wetu wa pwani wamekuwa wakitumia supu hii na hadi sasa sehemu za Z'bar,Pemba,Kilwa,Mafia, mikindani bado inatumika sana tu.
Jaribu ndugu yangu imesaidia wengi sana.
 
Sijui unaumwa nini ndugu yangu ,ila cha kwanza Muombe na mwamini Mungu katika huo ugonjwa wako na pili unaweza kwenda kwa hawa wataalamu wa tiba mbadala akina Dokta Ndodi.Anaweza kukusaidia kwa kuwa anajiamini sana na dawa zake.
 
tatizo ni kwamba nimeshatembea kwenye hospitla nyingi na nimeshindwa kupona..sasa nikaona nijaribu mitishamba.anyway thanks
Pole sana Nicko,be positive na Mungu atakusaidia afya yako irejee,kwa mitishamba be careful mingine isije ikakuongezea matatizo.
 
thanks kwa ushauri kaka..ila tatizo ni kwamba nimekunywa sana dawa za hospital lakini bado hali yangu si nzuri.

Una ugonjwa gani usiotibika? Mana kuanzia hapo ndo unaweza kushauriwa..
btw, hizo dawa sijawahi tumia..
 
Swali lako liko kisengelenyuma! Ungesema ugonjwa unaokusumbua ingekuwa rahisi watu kukushauri vizuri. Lakini sasa wewe unaanza na matumizi ya dawa bila kusema ugonjwa? Hii kali. Sasa watu waseme ngetwa inasaidia katika nini?? Ngumu kujibu.
 
nasumbuliwa na maumivu ya miguu..kuna wakati misuli ya miguu inauma sana hasa mapajani.Nimetembelea hospital nimeshindwa kupona kabisa.Sasa nikaona nijaribu na mitishamba kidogo nione matokeo.
 
nasumbuliwa na maumivu ya miguu..kuna wakati misuli ya miguu inauma sana hasa mapajani.Nimetembelea hospital nimeshindwa kupona kabisa.Sasa nikaona nijaribu na mitishamba kidogo nione matokeo..
 
umewahi kwenda sino-tanzania, ni hospitali ya wachina iko sinza opposite na JJ bar, wana daktari pale mtaalam wa magongwa ya misuli. dawa zao naamini ni nzuri. nina ndugu yangu alienda kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa tofauti na wa kwako ambao dawa za hospitali za kawaida ulishindikana, na alipona katika muda mfupi. all the best
 
Nenda kwa mchina wa tabata aroma.
Kwa huyu Mchina dawa zake ni kama chakula hivi ukinywa unakuwa umepona wakati wa matumizi ya dawa zenyewe lakini pindi unapomaliza hizo dawa baada ya kama wiki mbili hivi maumivu yanarudi upya kama vile hukuwahi kutibu huo ugonjwa kabisa.
Lakini pia gharama zake ni kubwa sana pale kwa wabangizaji kama sisi ni vigumu ku-maintain kwenda pale kutibiwa kila mara.

NB:
Hii haina maana kuwa nakukatisha tamaa kwenda uko hapana ila mimi pia nilishawahi kwenda kutibiwa hapo somedays ago.
 
umewahi kwenda sino-tanzania, ni hospitali ya wachina iko sinza opposite na JJ bar, wana daktari pale mtaalam wa magongwa ya misuli. dawa zao naamini ni nzuri. nina ndugu yangu alienda kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa tofauti na wa kwako ambao dawa za hospitali za kawaida ulishindikana, na alipona katika muda mfupi. all the best
Vipi gharama zake ili kama mtoa mada ni MBANGAIZAJI kama mimi aweze kabisa kuandaa pesa ya kutosha kwenda hasije akaenda halafu akarudi hata hajamuona daktari.

Tuwekane wazi kabisa kuwa gharama za Wachina ziko juu kwa watu wa kawaida kuweza kuzi-handle
 
Last edited:
hizi ni dawa za wachawi wa kisabato, wayehova witness na waganga wa kienyeji wa kiislam, yaani mashehe wafuga majini. ukitumia tu, zina connection na kuzimu na shetani mwenyewe, hata kama zitakutuliza kidogo, mashetani yanakuwa yamekuweka kwenye record yao, wakati wowote yanaweza yakakutengua na kukutumikisha kama upendavyo. nawajua watu wengi walitumia hizo, hasa ile DFP ya meno, badala yake alienda kung'oa meno matatu mwaka huo huo.

angalia yule jamaa wa DFP, ni yule mwenye kipindi start tv cha "mahakama ya mungu" akitangaza dhehebu lake la kijehova pale, utashangaa. mtu hajaenda hata shule ya udaktari, anakwambia amegundua dawa. na anashuhudia kuwa ameonyeshwa na jehova wa ki kwake, na kwamba, ati alipokuwa mdogo wazazi wake walishawahi kumpeleka hadi wodi ya vichaa ya muhimbili, kwasababu waliona ana mauzauza. huyohuyo ametengeneza dawa ya DFP, watu wananunua na hawaponi wala nini. anakula hela tu.

kuweni makini na dawa hizi za wasabato, kama kina Dr.ndodi, wale wa ngetwa eleven, DFP, na wengine wengi wa alternative medicine. ni wachawi na maajenti wa shetani kabisa.
 
uliwahi kusikia wapi, daktari anakupa dawa ya unga anakwambia ukachemshe na usukutue mdomoni,vilevile kama enzi zetu za mitishamba kule kijijini. hakuna tofauti, ila wao wameweka tu kwenye chupa...uchawi uleule.
 
Back
Top Bottom