mwee!! mweee!! Tena kuna siku moja na mimi nilienda nikawa nimevaa kofuli mpya babuu lake, imeandikwa UTAJIJU enzi zile! jamaa anapaka rangi halafu anakula chabo, basi baada ya kumgundua nikamwachia mwaaaaa! Nikaona jamaaa kasimama kaelekea choooni! shenzi kabisaa najua alienda kutoa magundi yake kwa mkono! mi naja kupaka rangi we unanichungulia!!! basi UTAJIJU! kwani kazi yako kuchungulia?