kwa maelezo uliyotoa huyo kaka aliyetoka Singida ndo mwenye makosa,mpumbavu na mtoto...there is no point kwenda kutagaza decision inayowahusu wawili kwa ofisi.....nampongeza sana Boss kwa hatua yake ya kuona kilicho chema na kukifanya chake bila kukawia....nawatakia maisha mema na yenye baraka tele.AMEN!
hata mabosi wachungaji?hivyo ndivyo mabosi wote tunavyofanya lol