Nani Ana Hukumu Za Mashauri Haya?

SEBM

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
495
Reaction score
325
Wakuu,
Naomba kama kuna mwenye nakala ya hukumu za mashauri yafuatayo;
1. Shauri la Uchaguzi Igunga
2. Shauri la Uchaguzi Sumbawanga Mjini
3. Shauri baina ya Serikali na Walimu (hili la mgomo wa juzi)
4. Shauri baina ya Serikali na TUCTA (Mgomo wa 2008 nadhani)
5. Shauri baina ya serikali na Madaktari (mgomo)

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…