kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi- ni nani mwenye dhamana ya kulinda picha za wagombea na bendera za vyama vya siasa zisiharibiwe?
Je, ipo sheria inayotamka kua kuharibu picha au bendera ni kosa?
Au kila mwananchi ana Uhuru wakuondoa picha ya Mgombea na bendera asiyoitaka?
Je, ipo sheria inayotamka kua kuharibu picha au bendera ni kosa?
Au kila mwananchi ana Uhuru wakuondoa picha ya Mgombea na bendera asiyoitaka?