Nani ana stori ya huyu Mwamba Franklin Boukaka?

Nani ana stori ya huyu Mwamba Franklin Boukaka?

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Franklin Boukaka nilianzaga kumfuatulia huyu Mkongo hasa baada ya wimbo wake mmoja kuwa unapigwa pigwa sana Sauti ya Ujerumani. Nikaanza kumfuatilia nikaja kugundua mbali ya kuwa mwanamziki alikuwa pia mwana harakati na huu uanaharakati wake ndio ulimgharimu Maisha na kujikuta anakufa kifo kibaya sana.

Kuna kibao chake kimoja cha African liberte, huwa nakisikiliza kila wiki hasa baada ya kupata tafasili yake.
 
Nyimbo yake ile ya Africa ilitamba saana hasa kwenye majanga kipindi kile cha Ebora
 
Hiyo nyimbo ya AFRICA ina vision mbili kuna ya kifaransa na ya kingereza historia yake haitofautiani saana na Oliver ngoma
 
Back
Top Bottom