Nani anaeratibu uanzishwaji wa Katiba mpya

Nani anaeratibu uanzishwaji wa Katiba mpya

NewDawnTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,667
Reaction score
362

I have to agree that we have some diversity on the Katiba issue, but i do also believe that there can be some unity in that diversity in the Name of New Katiba. Amin

Kwa kweli mwenzenu nachanganyikiwa na hizi kelele za katiba. Kila mtu ana lake la kusema na kila mmoja ana njia yake anayotamka.


  • Watu wa LHRC wana zungumzia katiba na kuonesha kushughulikia....
  • Watu wa Chadema nao wanaonekana kushughulikia...
  • CUF na Wakina-DOvutwa (RIP in Politics) nao wanazungumzia na huenda wanashughulikia....
  • Serikali nao wanataka kuunda tume ya katiba (japo nasikia ya mabadiliko)
  • Mnyika nae..na hoja binafsi bungeni......
  • JF napo kila ninapofungua kutafuta ni nani rasmi wanao-pioneer mpango wa katiba mpya, nakutana na petition za kusaini kuridhia katiba ila baada ya kusaini petition sijui nini kitatokea
  • Hapa hapa tena naona post Waislam waandaaa katiba Mpya.
  • Kesho tutasikia kanisa katoliki, TAG, EAGT, Lutheran, Bahai, Hindu e.t.c nao wanaandaa katiba mpya.
Kimsingi ninachojaribu kusema hapa ni kwamba katiba inazungumzwa lakini nahisi haishughulikiwi na kama inashughulikiwa inashughulikiwa kwa mtaweanyiko ambao hauwezi kuleta tija. NA HILI NI PIGO KUBWA.

Kwa mfano watu wanamitazamo na mawazo mazuri kwa katiba lakini je ni sehemu ipi sahihi YA ku-channel mawazo hayo??

Hata hawa tunaosikia wanatengeneza katiba mpya (japo kama ni muislam ujue Mkristo atatazama kivingine hata kama hakuna tatizo, na wakristo pia wakianzisha it will be the same kwa wengine) wangepaswa watengeneze wapeleke kwenye chombo kimoja kinachoaminiwa na wananchi na ambacho ni chombo huru kisicho na sura ya mtazamo wa kubaguliwa na wengine.

Natamani nisikie LHRC au chombo kingine chochote independent (Sio tume inayoundwa na Raisi au chama cha siasa) inashughulikia suala la kuanzishwa kwa katiba Mpya na wote wenye nguvu na kimuhemuhe cha katiba basi waunganishe nguvu zao huko.

Je waungwana, ni nani anaepanga na kuratibu uanzishwaji wa katiba mpya, au tunachangia na kuongea HUKU HAKUNA MTEKELEZAJI WA MAONGEZI NA HOJA ZETU??

MWISHO WA SIKU MSHINDI NI YULE ANAEPINGA KATIBA MPYA JAPO NGUVU YAKE NI NDOGO KULIKO YA WANAOTAKA KATIBA MPYA.

Nawasilisha kwa msaada
 
strong visions from u,
Ni angalizo booora sana, ngoja tusubiri michango ya wadau
 
Umetoa angalizo zuri sana Mkuu.

Ukweli ni kwamba ili kuwepo na mafanikio ya jambo ni lazima pawepo na muanzilishi rasmi. Kinachotokea kwa sasa ni watu kujua tu kuna vuguvugu la katiba mpya lakini haieleweki wazi ni nani atakaesimamia, kuratibu na kuongoza zoezi zima la kutupeleka kweny katiba mpya. Inaonekana kila mtu tu ni muasisi na mpiaga debe, lazima ajitokeze mmoja to stand out of the crowd but for the crowd ili atuongoze kupata katiba mpya.

Naamini mchango wako kwa post hii utatusaidia kupata njia muafaka kuelekea katiba mpya
 
Nadhani anybody with the means to see his novel vision about this can see it through. The process should be inclusively participatory.
 
What i know it is the president who will have to initiate the set-up!! by selecting the best lawyers, religious, businessman and etc. He will need to form a commission which will stay in a very quite place to draw up the new constitution base on the ideas of people then step till it finish the entire constitution.


then it will be taken for reforrandum where the entire country will vote for yes and no. if yes won then it will be taken to the parliament for approved and become a law once the president sign it..
 
Back
Top Bottom