Nani anafaa kuongoza tume ya "Katiba Mpya"?

1.Shivji awe-Mwenyekiti 2.Tundu Lisu-Makamu Mwenyekiti 3.Mwakiyembe-Katibu 4.Jaji Warioba-Mjumbe 5.Mwenyekiti wa Tume ya haki za binadamu-Mjumbe

Tundu na Mwakyembe watakuwa biased hawako huru, wengi wako ok
 
kwa vile tunajadili watakaokuwemo kwenye Tume ya katiba ya Tanzania(na sio Tanganyika) nnapendekeza safari hii tume iongozwe na mzanzibari na nnapendekeza:-

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Omar Makungu
Jaji Mahmoud
Jaji Mshibe
jaji Zubeir

kati ya hao mmoja awe mwenyekiti
 

Hilo nalo neno, nilisahau Zanzibar kweli majina kutoka zanzibar ni muhimu
 
he/s has provided a leading question by providing his comments right from the start! could at lest comment there after

There were no rules for making comments at JF

Rules available are regards to defarmation and use of abuse language to other members.
 
Jaji Nyalali na tume yake hola...jaji Kisanga na yake hola...sasa nyingine tena. huu ni usanii wa kisiasa. mtakumbuka maneno yangu. Prof. Shivji is the best though. kumbuka tume yake ya ardhi
 
There were no rules for making comments at JF

Rules available are regards to defarmation and use of abuse language to other members.

Yes Pal Tropical, no rules but he's question then provided answer so what is the question then? I did not say U vioaated any rule... alright tusipoteteze mada....tuendelee kutoa mawazo nani anafaa!! lakini alikosea kufrem hoja yake, mm sio mwalimu lakini usinikamate ugoni LOL

Mtizamo wangu kura yangu inamuangukia Jaji Mstaafu (A. Ramadhani), he has experience with reviewing constitutions in TZ environment (Zanzibar two times) he was immersely involved in the said exercise! He the one categoricaly said in the current constitution there are uncostitutional clauses, mfano marekebisho ya 1992. sijamsikia mwingine aitamka maneno haya ndani ya system!! maana yangu ni kwamb yuko huru na ana nia hasa ya kuona mabadiliko ya katiba
 
Kama tume itateuliwa na JK (badala ya Bunge), hata iongozwe na malaika sitakuwa na imani nayo

Tume hovyo hovyo itazaa Katiba hovyo hovyo na inaelekea kuwa hivyo, dawa hapa tukishaona dalili za kuchezewa rafu basi tuanzie hapo kuipinga tume itakayochaguliwa kwa maandamano yasiyoisha la sivyo ikiachwa itakula kwetu
 
Kama tume itateuliwa na JK (badala ya Bunge), hata iongozwe na malaika sitakuwa na imani nayo

itakuwaje ikiwa hivi....
1.Edward Hosea
2.Jonson Mnyika
3.Abdulahman Kinana
4.Makamba Yusuph
5.Zotto Kabwe
 
Tume hovyo hovyo itazaa Katiba hovyo hovyo na inaelekea kuwa hivyo, dawa hapa tukishaona dalili za kuchezewa rafu basi tuanzie hapo kuipinga tume itakayochaguliwa kwa maandamano yasiyoisha la sivyo ikiachwa itakula kwetu

tume ambayo siyo ya hovyo iongozwe nani
 
itakuwaje ikiwa hivi....
1.Edward Hosea
2.Jonson Mnyika
3.Abdulahman Kinana
4.Makamba Yusuph
5.Zotto Kabwe

wote naona wanasiasa isipokuwa hosea, issue wikileaks itakuwa ngumu kwake kuteuliwa
 
Wanajua matatizo ya watanganyika.....**** nikubalance wawepo wajumbe wasiozidi wawili Pemba 1 na unguja 1
 
Professor Safari.
sijui ni kwanini mimi siamini chochote unachokoment hapa...... ila kwa LEO NAOMBA NIKILI kuwa challenge yako ni nzuri.... nakugongea thanks kutokana na CHALLENGE zako ila sio threads ZAKO
 
Wanajua matatizo ya watanganyika.....**** nikubalance wawepo wajumbe wasiozidi wawili Pemba 1 na unguja 1

Wanajua matatizo ya wazanzibar sehemu ya Tanzania, ni lazima wawepo, Katiba ya Tanzania inaathiri Zanzibar
 
itakuwaje ikiwa hivi....
1.Edward Hosea
2.Jonson Mnyika
3.Abdulahman Kinana
4.Makamba Yusuph
5.Zotto Kabwe
tunazungumzia katiba ya nchi au ya saccos yaani 1,3,4 hawa hovyo kabisa 2 sina uhakika namba 5 simjui...
 

Join DateSun Feb 2008Posts2,201Thanks19Thanked 121 Times in 90 PostsRep Power0

Did you find this post helpful?
|
Re: Nani anafaa kuongoza tume ya "Katiba Mpya"?


Professor Safari.​





Reply
Reply With Quote
Thanks Posted via Mobile

<LI id=post_thanks_box_1434230 class="postbitlegacy postbitim">Remove Your Thanks
The Following 2 Users Say Thank You to Dar Es Salaam For This Useful Post:

Kiherehere (Today), Topical (Today)​
 
Wanajua matatizo ya wazanzibar sehemu ya Tanzania, ni lazima wawepo, Katiba ya Tanzania inaathiri Zanzibar
mimi naona majina uliyopendekeza wako vizuri cha msingi nikuongeza wazanzibar 2 ili timu iwe na vichwa 6 ...
 
Mada ilikuwa nzuri sasa imekuwa mad matusi hayawezi kuwa ufumbuzi tujitahidi kuvumiliana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…