Uchaguzi 2020 Nani anafaa kuwa Mbunge wa Karagwe?

mohermes

Senior Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
124
Reaction score
28
Nimekuwa nikifuatilia siasa za Karagwe tokea uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo ndugu Innocent Bashungwa alichaguliwa kuwa Mbunge wa jimbo la Karagwe.

So far siajona kitu alichofanya kwani wananchi wamezidi kulia kwa ugumu wa maisha including kilio cha wakulima kuhusu bei za masoko ya mazao yao.

Nikiwaangalia makada wengine katika chama cha Mapinduzi ambao wanamuweka roho juu Bashungwa nawaona kina Blandes Begumisa aliekuwa mbunge awamu iliyopita ambae pia alipuyanga na Karim Amri mfanyabiashara mashuhuri wa Karagwe. Kwa nafasi ya upinzani sina uhakika nan atasimama pale lakn all in all tunahitaji sura nyingine kutuwakilisha jimboni.

Kwa minajili hyo wadau wenzangu wa siasa za Karagwe mnadhani ni nan ambae anaweza kutuwakilisha vizuri bungeni awamu ijayo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We cross always the bridge when ultimately we reached.
 
Basi itakua sahii mkimpa nafasi Prince Rwazo ingawa sijui kama ana pesa za kuwapa ,kununua konyagi,rubisi,togwa,sukari ingawa kichwani yupo vizuri.
 
Tatizo mna penda kuhangaika sana mtu atakaye wavusha na mwenye maono ni Dr C.S. Manyonyi, huyu jamaa Cool sana mna rasilimali za kutosha lkn hamzijui. kaeni kamati ya wazee wakamshawishi huyu jembe achukue form, mtaona mpambano utakavo kuwa huyu mpaka U-Rais anakubalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…