PARADIGM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2014
- 2,774
- 1,827
Habari wanaJF,
Naomba kama mtu anaweza kunipa mwanga kwamba endapo mashahidi wa wosia wa maandishi ni wawili na wote ni watu wa ukoo ila si wanufaika wa mali za marehemu kama wosia utakuwa halali au batili.
Mara nyingi nimeona wosia zikibatilishwa ambapo mashahidi wa wosia wanatoka nje ya ukoo.
Naomba kama mtu anaweza kunipa mwanga kwamba endapo mashahidi wa wosia wa maandishi ni wawili na wote ni watu wa ukoo ila si wanufaika wa mali za marehemu kama wosia utakuwa halali au batili.
Mara nyingi nimeona wosia zikibatilishwa ambapo mashahidi wa wosia wanatoka nje ya ukoo.