Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?


Mumeshanyang'anyana huko....!!!?
 
Last edited by a moderator:

wewe wewe wewe weeeee, wapi unakwenda, rudi haraka tanga. Yani ndugu zangu Arabela na KOKUTONA wameshafungisha sare za madera huku then unataka kughairi, wataweka wapi nyuso zao?
 
Last edited by a moderator:
Hakuna Mbu yasiokua na Masika!

Na wewe punguza vimisemo basi, si umwambie Baba V kwamba Arushaone anataka kuingilia anga zako. Halafu una unatakiwa utoe ufafanuzi kuhusu huko Unguja, kwanini hukusema dar, moro, mbeya, nk nk nk?
 
Last edited by a moderator:
wewe wewe wewe weeeee, wapi unakwenda, rudi haraka tanga. Yani ndugu zangu Arabela na KOKUTONA wameshafungisha sare za madera huku then unataka kughairi, wataweka wapi nyuso zao?

jaman tumeshajiandaa. Aibu hiyo tutaipeleka wapi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…