Kwani walinyimwa kuhudhuria saa kumi na moja?Wanazi wa Simba Ndugai na Majaliwa waweze kuhudhuria!
Wangejigawa vipi?Kwani walinyimwa kuhudhuria saa kumi na moja?
Wangekwenda kule wakoona pana umuhimu zaidiWangejigawa vipi?
Gulamali au mavundeAtabaki huyu huyu.
Labda kama kuna kosa lingine.
ILA la UTOPOLO kukimbia mechi hapana.
Acha abaki
Huyo hataki wachezaji wa nje ya nchi. Anataka wabaki watatu tu kila timu hafai.Arudi Mwakyembe