Habari wana jamii, nimejaza form za kuweka umeme kwenye site yangu iliyoko salasala ninahitajika nizipeleke mbezi kwa surveyors wa Tanesco I hope!!!!! Kwa naejua wako wapi anijuze please!!!!!
kama unataka kuingiza umeme kwa haraka mtafute jamaa ...anauzoefu aliwahi kunisaidia nilikuaga napigwa karenda lakini jamaa akafanya fasta tu 0755681602kiongozi, tumia umeme wa jua... Epuka disappointments za tanesco
mtafte huyu jamaa aliwahi kunisaidia fasta....0755681602habari wana jamii, nimejaza form za kuweka umeme kwenye site yangu iliyoko salasala ninahitajika nizipeleke mbezi kwa surveyors wa tanesco i hope!!!!! Kwa naejua wako wapi anijuze please!!!!!