Kweli kabisa hata mm naona kwenye rada kwa mbali nimepita hapa mwenye nyota yangu naona mambo si habaaaaAhahahahah nami nakuja naona yangu inasua sua hivi
Tunacheka kihutuuu hiiiiiiSie tunajua
Shemeji jaman khaaaa unarud lini kwanza bongolandNi shemeji yangu mimi, halafu punguza wivu tutakuvisha dera.. Ya pm yaache huko huko usije kuyaleta hapa maana naona unakoelekea sio kuzuri. Keshakumwaga tulia tongoza mwingine.
Aiyaaaa nakuja harakaaa babeKweli kabisa hata mm naona kwenye rada kwa mbali nimepita hapa mwenye nyota yangu naona mambo si habaaaa
KARIBU USAFISHE NYOTA ILIYOCHAFULIWA NA WATU WENYE MIKOSI
Nimesahauumesahau?
Yap kidogoUmeona eeeh wasiyo na nyotaaa wanaumia sana
HiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiTunacheka kihutuuu hiiiiii
Ukifika kilingeni uvue viatuuuAiyaaaa nakuja harakaaa babe
NAOMBA NIELEKEZE NIJE KWA WAKWEREEEWachawi tunajua maana ya nyota karibu msata kilingeni upateee suluhisho lakooo
sawaNimesahau
Wana GUNDU wakaoge maji ya bahariYap kidogo
HahahahahhWana GUNDU wakaoge maji ya bahari
Nikirudi utaniona na lazima Mzee wa vutunguli atakwambia.Shemeji jaman khaaaa unarud lini kwanza bongoland
Hiiiiiiiii nimecheka sana hii commentHiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Karibu sanaNAOMBA NIELEKEZE NIJE KWA WAKWEREEE
Badilisha avatarNikirudi utaniona na lazima Mzee wa vutunguli atakwambia.
Haahahhahahmtoto ana tabia mbaya huyu, mpelekeni kanisani haraka iwezekenavo
Hata mimi mwaya🙁🙁sijakaona jamani bando mzozo ila nafatilia comment
hahaha ...anafnya kazi NASAnyota zipo angani we umezipataje ?