Nani anafanya biashara na USA kupitia AGOA?

ANKOJEI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
996
Reaction score
745
Hi People

Nahitaji msaada kujua kama unataka kufanya biashara na USA kupitia AGOA unafanyafanyaje??
Nasikia soko liko waziwazi huko America, tunasububiriwa siye tu tupeleke bidhaa.

Msaada tafadhali
 
Kama unataka kujua hii ishu vizur nenda pale epz wanafanya hizo mambo pale , kuna mpaka majarida yao

Jesus loves u
 
Hebu jamani dadavueni vizuri kuhusiana na hili soko maana USA ni moja ya nchi muhimu kufanya nazo biashara.

Masoko yepi yapo huko na mechanism za masoko zikoje huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lau kama fursa kama hizi zingevaliwa njuga basi ukata wa pesa mtaani utaisha kama si kupungua.

US ni nchi muhimu kibiashara sababu hela ya dunia (world hard currency ambayo ni USD) theluthi mbili yake iko USA kwa hiyo inamaana mzunguko wa biashara kimataifa dunia nzima basi ni kama nusu ya mzunguko wa fedha wa USA .

Kwa hiyo kama kuna fursa kama hizi basi viongozi waangalie ni jinsi gani wanaweza kuisongesha mbele Tanzania kupitia AGOA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…