Nani anaikumbuka hii?

Eberhard

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
1,153
Reaction score
809
NANI HAJAWAHI KUUIMBA WIMBO HUU?
Kiongozi: Chama chetu cha mapinduzi cha jenga nchi!
Waitikiaji: chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi*2
Oho Chaaam - Ahaaaa
Ohoo Chaama- Chajenga nchiiii
 
Mi nakumbuka, lakini maudhui ya wimbo, hayajatekelezwa.
 
Ninakumbuka wakati huo nyimbo zote shuleni wakati wa mchakamchaka zilikuwa za kusifu serikali,ccm pamoja na Jk Nyerere, ilikuwa ole wako uvibeze lakini ilikuwa ni kutokana na kutokuwa na uhuru wa kifikla kwa WaTanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…