Nani anajua zilipoishia jumuiya kama vile OIC, GCC na Arab League?

Nani anajua zilipoishia jumuiya kama vile OIC, GCC na Arab League?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hizi jumuiya huenda zimeshakufa.Kama zingekua hai kusingekuwa na uwezekano wa watu wa Gaza kuuliwa kinyama bila ya wao kuingilia kati au angalau kutoa matamko makali ya kulaani kinachotokea.

Na kama jumuiya hizo zingekuwa ziko hai basi kilio cha Hamas na wapalestina basi kingesikika.

Vile vile jumuiya hizo zingekuwa bado ziko hai basi tungekuwa tunasikia mikutano yao ikifanyika mara kwa mara tangu kuanza kwa vita vya Gaza na sasa ambapo vita vinaingia duru nyengine ya machafuko makubwa zaidi baada kifo cha kiongozi mkuu wa Hamas ndugu Ismael Haniye.

Dunia ni kubwa na elimu ni pana yawezekana yupo mwenye taarifa zaidi kuhusiana na jumuiya hizo.
 
Hizo jumuiya zinapata bajeti kutoka kwa watu wa marekani ili zijiendeshe,kiufupi ni matawi ya mayahudi,mayahudi yamweashika pabaya,mana magaidi huwa yamejaa unafiki baina yao na kuuana.
 
Hizo jumuiya zipo sana tu sema hawataki uanzishe farangati eti wao waaache ishu zao waje kukusaidia

USSR
 
Hizo jumuiya zipo sana tu sema hawataki uanzishe farangati eti wao waaache ishu zao waje kukusaidia

USSR
Nikiangalia huku na kule naona kama zimekufa kifo cha mende.
 
OIC kueneza dini? Ili dunia nzima iwe na dini moja? Hata Mungu hapendi; yaacheni magugu yamee pamoja na ngano. Bwana wa mavuno ajapo hatima ya ngano na magugu itajulikana. Hakuna kulazimishana - jenga ushawishi.
 
Back
Top Bottom