Hiv kati ya king zamunda na mkali wa matuzo bongo dimond, nani anakula mkwanja mwingi akiitwa kwa show...????
Hivi mmeona ratiba ya Show za diamond Ni nying mno zaidi en kuhusu pesa Sina imani kama Kiba anaeza fikisha hata 2M kwa show moja akati mond kwa show moja ni zaidi ya 15M
Upo dunia ya wap? Huyo ni diamond wa 2013... kwa 2015 huwezi kumpa tuela huto afanye show ni zaidi ya mara 4 ya hapo, na pengine ameongeza...
Hiv kati ya king zamunda na mkali wa matuzo bongo dimond, nani anakula mkwanja mwingi akiitwa kwa show...????
kiba wenzie wakina shilole mara ya mwisho tigo walimpa diamond 100milioni kwenye kiboko yao consert
Umeua mkuudiamond dau lake kwa show ni laki saba acheni uongo
Acha kufananisha kipele na jipu