Haaah...haaaaa,umenikumbusha mbali sana,siku moja nikiwa kijijini kwetu pale mugana, nilihudhuria mechi moja kati ya kijiji chetu na cha jirani,sasa mshkaji mmoja alikuwa ameitiga VIP na KIPINDI HICHO HAPAKUWEPO NA JEZI ZAIDI YA UPANDE MMOJA KUVUA MASHATI KUBAKI KIFUA WAZI,Sasa kutokana na mshikaji alivyokuwa anahaha uwanja mzima....eeh bwanae ......si ilishamfika kifuani bila yeye kujua?Sasa uwanja mzima ukawa unashangilia (mashabiki)yeye ndio kwanza sifa zinamjaa na akaongeza kasi ya kupiga chenga, mashabiki hasa mademu nao wakazidisha makelele kushangilia.Sa,jamaa alipokuja kushtuka anaikuta VIP imejikita vizuri kifuani ka sidiria vile heeee....hiiiiiiiii!!