Nipo nafwatilia interviewNiko poa dear..
MkuuKushobokewa humu kwa mada aliyoleta sio rahisi, cha msingi ajipange upya tu, tena aweke lengo la kipuuzi la kuivua bikini ya yule miss mpenda pesa.
Kwa hiyo jamaa anapenda boli hadi kusahau "kukutendea haki"?[emoji12]
We ni wa kwa kina Harmorapa?Inategemeana na Ntu na Ntu.
Ile haki ya msingi ya mke buana nawe Mbiti[emoji12]hahaha nitatendewa haki mbinguni!teh teh haki za dunian zinanipita hivhivhiiii lol!...
Ile haki ya msingi ya mke buana nawe Mbiti[emoji12]
Hakika, nitapwaya mkuu[emoji12]............viatu vikubwa ...........hutoshei....................