Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?






Kwa kweli kwangu mimi wala siyo siri tena, navutiwa sana na dada farkhina, dua langu kila kukicha ni kukutana naye na nimkumbatie huku nikimwambia bibie nakuzimia na nakupenda ile mbaya na roho yangu itapona. Mwanamme gani asiyependa kula kalmati, biryani, pilau, na vyakula vingine vitamu? Ee Mungu baba, naomba unikutanishe na dada farkhina kwani nina maneno mazito naye yanayonisibu moyoni na ndotoni.
 
bora siku nyingine muulizage tunawachukia kina nani list ya ignote inakaribia kufika 200 tanfu jana hadi leo hahahjaha
 
Acheni hizo bwana.......navutiwa na demu flani ivi amaizing !!!
 
Napita tu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
mbona umelinganisha visivyolinganishwa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…