Nani anamchafua Paulo Makonda Ktk Bunge maalum la katiba?

Nani anamchafua Paulo Makonda Ktk Bunge maalum la katiba?

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
974
Reaction score
245
Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?
 
Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?

Mkuu anajiponza yeye mwenyewe, unapochezea matope lazima uchaqfuke tu!!!
 
Alicheza mchezo ambao haujui, kijana alitumika vibaya sana chezea siasa.

Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?
 
Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?

Anajichafua kwa uchafu wake mwenyewe
 
Ipad aliipiga kingunge wanamzushia kijana wa watu!
 
Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?


CCM na wanaCCM kwa asili ni wachafu.
Paul Makonda ni mwanaCCM.
Kwa asili yake ni mchafu.
Hivyo hakuna sababu ya kuuliza nani anamchafua!.
 
Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?
Mkuu anajichafua Mwenyewe, anapoiba simu na ipad anategemea nini?
http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...H60DvTeJlYPvuS9DMw29mmw&bvm=bv.62286460,d.bGE
 
Ni harakati za kawaida za kutafuta 'kiki' siku hizi kama ostaz Juma na Musoma alivyoitafuta kwa kumpigisha magoti mbongoflava PNC.
 
Tangu ameongea hadharani kuhusu Lowassa amekuwa akifuatwa fuatwa na kuzushiwa vitu vya uongo katika bunge linaloendelea la katiba mpya. Tulisikia amepekuliwa Kuwa ameiba simu badae tukasikia iPad na kisha tukasikia ameliendeleza posho Kubwa yote amekanusha na mengine ofisi ya bunge imeyakanusha.

Swali ni hili, Nani Yuko Nyuma ya mpango huu?

His own publicity stunt!
 
Kwani nani alikuwa nyuma ya mpango wa kumpa uteuzi kuingia kwenye bunge. Every action has equal and opposite reaction. ..
Atulie tu atengenezwe...
 
Kwani nani alikuwa nyuma ya mpango wa kumpa uteuzi kuingia kwenye bunge. Every action has equal and opposite reaction. ..
Atulie tu atengenezwe...
Hebu dadavua kidogo mkuu.
 
Si ni kweli kuwa simu ilipotea?Ama lilikuwa tangazo feki kutoka kwa Kificho?Je ilipatikana?Kuna watu walioshukiwa?ama vibaka waliingia Bungeni?Lazima kuna mbunge atakuwa ameiiba tu!Ni nani sasa?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom