Nani anamchafua Paulo Makonda Ktk Bunge maalum la katiba?



Kama hajui kutumia vema msalani unategemea atatoka akiwa safi? Kwavyovyote lazima asababishe kelele kwenye pua za watu
 

we ni kati ya watu watakaofungwa maisha uganda.acha tabia yako ya jinsia moja.africa hatuhitaji ujinga.hutumii akili zaidi ya ma------
 
Alijifanya kuwa zaidi CCM.

Laana ya viongozi wa dini aliowatukana.
 
mwizi ni mwizi tu!!! panya wana asili ya wizi na kumbukeni kuwa makonda anatoka ukoo wa panya!!!
 
Atachafuliwaje tena kwani yeye ni msafi?
 
Hongera Makonda ukiona wanazuusha hata upuuzi ujue umewashika pabaya.
Kaza kabisa mpaka kieleweke.
 
amezipiga sana IPHONE ZA WADOSI WALIOKUWA WANAKUJA OYSTERBAY PHARMACY
 
Makonda msimtetee.ni mwizi.tangu primary.

Na hili la kuiba ipad bungeni ni sehemu ya uwizi wake wa kawaida (alioanzanao toka primary) au wenye chembechembe ya ki-itelijensia? Labda hiyo ipad ilikuwa ina mambo muhimu yenye kuhusiana na katiba mpya hasa serikali tatu ambayo CCM hawataki kusikia. Kwa maana nyingine huenda Makonda alitumwa na wakubwa wake.
 
chezea raisi wa 2015 wewe!!!

CCM na makundi yao yatawatesa sana mpaka itakapofikia 2015, kumbukeni kuwa huyu yeye na Lowassa ni maji na mafuta hivyo yamkinika ni vibaraka wa Lowassa ndio waliofanya uzushi huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…