God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Kuna Mambo naendelea kujifunza nani alikuwa anamjua tajiri Adam Bairu alyewahi kuifadhili au kuisaport Yanga Africans. (FC)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara zinaenda mswano kwa jina la mfadhiri wa timu X.Bora kuoa wake 20 ,utaambulia watoto kuliko kufadhili timu
Money laundeeing,yaani Magodoro tu na hizo swmi trailer 29 ndio uilishe ile mibaba 30 na mushahara kufuru,unalala sehemu nzuri mpaka ikivunjiwa mkataba inaliaBiashara zinaenda mswano kwa jina la mfadhiri wa timu X.
Ndo ivo, hilo ndio jibu.Money laundeeing,yaani Magodoro tu na hizo swmi trailer 29 ndio uilishe ile mibaba 30 na mushahara kufuru,unalala sehemu nzuri mpaka ikivunjiwa mkataba inalia