Nani anamjua Adam Bairu aliyekuwa anaifadhili Yanga kule Arusha?

Nani anamjua Adam Bairu aliyekuwa anaifadhili Yanga kule Arusha?

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Kuna Mambo naendelea kujifunza nani alikuwa anamjua tajiri Adam Bairu alyewahi kuifadhili au kuisaport Yanga Africans. (FC)?
 
Screenshot_20241006_171541_LinkedIn.jpg

Huyu au!??
 
Mimi namjua alimuoa Neema dada yake na mchezaji wa zamani wa Yanga Muhidin Cheupe Alikuwa ana nyumba National Housing Ngarenaro Arusha.
 
Biashara zinaenda mswano kwa jina la mfadhiri wa timu X.
Money laundeeing,yaani Magodoro tu na hizo swmi trailer 29 ndio uilishe ile mibaba 30 na mushahara kufuru,unalala sehemu nzuri mpaka ikivunjiwa mkataba inalia
 
Back
Top Bottom