Mbona hamsemi ndio nani?
Kaa na nyumaSitaki watu wakae siti ya mbele kwenye nyuzi zangu nakaa mwenyewe.....
Basi wa mbele wainame ili wanyuma tuone na sisiSitaki watu wakae siti ya mbele kwenye nyuzi zangu nakaa mwenyewe.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huumizi kichwa hata kidogo, ukimpata CHIBONGE, huwezi tumia nguvu nyingi kumridhisha, mana kuna mademu shika wewe wapi, shika ziwa shika tako shika nywele mwisho unajikuta unamshikisha MIMBA. Vingine wala hashiki....
Nakwambia mie nataka CHIBONGE, nikionaga minyama tu wakitingisha minyama tu kila kona minyama tu, sihangaiki sanaaaa....Watu mnapenda pressure
..... huyo na viwanja ni muda wote.
Huwezi mfuga kwa vyovyote isipokuwa muda wake ukipita anakuwa hana thamani japo kulumangia. Wanachakazwa nakuchakaaa vibaya ....wanachakaa sana
.
Kisa cha kujikufisha na pressure!
Hahahahahaha hata ww unajua na motoni one wayHahaha mie si comment wewe unataka kumanisha vingine ambavyo vinaenda motoni, mie wa mbinguni kwa kweli. .
Nilishawahi kufanya nae biashara Fulani hv, anaishi Tabata. Ninazo namba zake za simu na kuna mtu aliweka namba zake humu jamvini siku moja. Jina lake halisi sitaweza kulitaja piaAtakayenijulisha huyu dada ni nani ana zawadi ya elfu 50
Nilishawahi kufanya nae biashara Fulani hv, anaishi Tabata. Ninazo namba zake za simu na kuna mtu aliweka namba zake humu jamvini siku moja. Jina lake halisi sitaweza kulitaja pia
Twende tukauze kuni kule na wese litakuwa na bei maana moto ndo oxygen ya kuleWewe jamaa unataka kampani hadi motoni, unataka tukafungue biashara wote motoni acha hizo. Mimi huko siendi na sipajui. Kwanza Mungu akinambia nenda motoni namgomea, kwa kweli huko siendi...
Twende tukauze kuni kule na wese litakuwa na bei maana moto ndo oxygen ya kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa mawazo yakoHahahah Sasa watu si ndio kuni? biashara ya kuni tutafeli kwa kweli. Kule tunafungua duka na genge labda ndo linalipa...
Hapana usipende mizaha kwa watuKwa kweli nishakumbuka si yule mlikuwa mnafanya biashara ya kuuza madera pamoja. Mlikuwa mnawakopesha wabongo hamjui kuwa watu hawana hela za mchezo mchezo mkafilisika. Sasa hivi umeamia wapi? mana nilisikia umehamia mtoni kwa azizi ali...