Nani anamuelewa Dkt. Wilbroad Slaa na kauli zake zinazobadilika?

Nani anamuelewa Dkt. Wilbroad Slaa na kauli zake zinazobadilika?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
1. Dk Slaa: Ubalozi utabaki historia, nitaendelea kusema -2024

2. Rais Magufuli afanya mazungumzo na Dk Slaa Ikulu- Asema Magufuli ni Jembe, aipongeza ccm kwa kuongoza nchi vizuri - 2017

3. Chadema ni chama cha Magaidi- wanahusika na kuteka - 2018

4. Chadema ndio chama Bora kipeni kura -2024

Nani anmuwelewa huyu mwanasiasa?
 
Bendera ikipandishwa inapepea kwa kufuata mwelekeo wa upepo.
 
1. Dk Slaa: Ubalozi utabaki historia, nitaendelea kusema -2024

2. Rais Magufuli afanya mazungumzo na Dk Slaa Ikulu- Asema Magufuli ni Jembe, aipongeza ccm kwa kuongoza nchi vizuri - 2017

3. Chadema ni chama cha Magaidi- wanahusika na kuteka - 2018

4. Chadema ndio chama Bora kipeni kura -2024

Nani anmuwelewa huyu mwanasiasa?
Unatakiwa kuweka muktadha mzima, sio kunukuu mstari mmoja tu.
 
Back
Top Bottom