hawajui kama kuna kufa?Mwanasiasa siku zote anakuwa na ndimi 2. usimwamin mwanasiasa kamwe
Unatakiwa kuweka muktadha mzima, sio kunukuu mstari mmoja tu.1. Dk Slaa: Ubalozi utabaki historia, nitaendelea kusema -2024
2. Rais Magufuli afanya mazungumzo na Dk Slaa Ikulu- Asema Magufuli ni Jembe, aipongeza ccm kwa kuongoza nchi vizuri - 2017
3. Chadema ni chama cha Magaidi- wanahusika na kuteka - 2018
4. Chadema ndio chama Bora kipeni kura -2024
Nani anmuwelewa huyu mwanasiasa?