Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kama juzi anasema Harry Kane ana miaka 30 hahaha nikasema huyu jamaa wametoa wapi? Mbishi kweli kwelinaunga mkono alafu ujuaji mwingi sana ...
Madhara ya kubebana ndio hayoHakuna kitu pale...
bora yule kijana maandiko yake anatumia sana edgar kibwanaKama juzi anasema Harry Kane ana miaka 30 hahaha nikasema huyu jamaa wametoa wapi? Mbishi kweli kweli
Priva kama nakuona unavyoumia kimoyomoyo jinsi wanavyo kubezaPriva yupo sawa,mimi binafsi namuelewa vizuri tu.
Masnitch wengine wanasema eti mangii na uchambuzi wa soka wapi na wapi[emoji23][emoji23]Priva kama nakuona unavyoumia kimoyomoyo jinsi wanavyo kubeza
Na shafii ndo alimpgia pande paleKake ni kachawa kaSHAFFIH hamna mchambuzi pale
Mm naona hapo ndo anapokoseaAnaboa sana halafu anadakia kila mada, anataka aonge yeye muda wote
hahahahahahha ujuajii mwingi aiseeeh ...Anaboa sana halafu anadakia kila mada, anataka aonge yeye muda wote