Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kuna video niliiona, ilitumwa WhatsApp kajamaa kanamgegeda aseee utadhani mjusi kalala juu ya gogo, sijui hii couple ipo kwa ajili gani ππAfu ajabu nyingine,ni vp kataweza kuliridhisha hilo jidada..make kwa umbo la jamaa means hata mshudede ni kibamia[emoji28][emoji28]
Kuna uzi uliletwa na Kasomi umemuelezea vyema Historia yake yote.Naimani mko buheri marafiki,
Naomba mwenye kuweza kuweka CV au taarifa za kina zitazofanya sisi wengine wa ukanda wa Afrika mashariki huku tumjue huyu bwana.Jamaa namfahamu kama msanii mwenye pesa ndefu sana na anaekubalika sanaa huko GUINEA sababu huwa naona huko u-tube anavyotrend kwa views nyingi na anavyoshobokewa na masister wa huko pia anaheshimika sana kwa ujumla wake.
Nimejaribu kufuatilia nyimbo zake huko u tube kiukweli sijaona anachovutia kabisa huyu bwana kuanzia sauti yake.Hata kucheza kwake jamaa anaenda vice versa na beat.ila vibe analopata si la Afrika.
Mwenye kumjua zaidi kwa kilicho chini ya uvungu kuhusu mafanikio ya huyu bwana aweke hapa sbb mi sjaona Cha maana.View attachment 1931823View attachment 1931824
Ni Grand P siyo Gran P.Gran P (Sio Grand P) ni msanii wa muziki huko Guinea, mwenye mafanikio sana kupitia kipaji chake cha muziki.
Msanii huu alizaliwa kiwa na ulemavu kama anavyoonekana ni ule ulemavu wa mtu kuonekana na umri mkubwa kuliko umbile lake.
Alikuwa msanii tokea kitambo, ila alipata umaarufu zaidi nchi za nje na mitandaoni (Haswa instagram) pale alipoanzisha uhusiano na mwanadada (Euxodie Yao ) mrefu na mwenye umbo kubwa kuliko yeye, mwanadada huyo aliyetokea nchi jirani na Guinea , nchi ya Ivory coast.
Shujaa sana.
Huo mzigo wake mi mwenyewe nisingeuweza umejaa vile ,huyo dogo amejitahidiKuna video niliiona, ilitumwa WhatsApp kajamaa kanamgegeda aseee utadhani mjusi kalala juu ya gogo, sijui hii couple ipo kwa ajili gani [emoji23][emoji23]
Mwanaume mashine, si ajabu ulemavu wake ni wa nje tu lakini ndani ni balaa si ajabu ana mkono wa mtoto wa kuvutia hilo Scania.Mungu hakunyimi vyote
Ni sawa na yule kada wa ccm aliefunga ndoa juzijuzi,yani kirikuu n fusoMi sijui kama ni mwanamuziki, ila nimemjua tu kupitia insta baada ya kumuona ni vits inayovuta fuso....ni mwanaume shujaa kwakweli
View attachment 1931986
ππππNi sawa na yule kada wa ccm aliefunga ndoa juzijuzi,yani kirikuu n fuso
πππ Ni wao asee niliifuta tuMmh hamna itakuwa editing make me mwenyewe mbavu ila siliwezi lile
Mimi sidhani kama Grand P (siyo Gran P) ana ugonjwa wa progeria kwakua mwenye progeria kuvuka miaka 18 ni ishu.Gran P (Sio Grand P) ni msanii wa muziki huko Guinea, mwenye mafanikio sana kupitia kipaji chake cha muziki.
Msanii huu alizaliwa kiwa na ulemavu kama anavyoonekana ni ule ulemavu wa mtu kuonekana na umri mkubwa kuliko umbile lake.
Alikuwa msanii tokea kitambo, ila alipata umaarufu zaidi nchi za nje na mitandaoni (Haswa instagram) pale alipoanzisha uhusiano na mwanadada (Euxodie Yao ) mrefu na mwenye umbo kubwa kuliko yeye, mwanadada huyo aliyetokea nchi jirani na Guinea , nchi ya Ivory coast.