Mimtamu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 368
- 105
Salam wana jamvi,
Hoja yangu ya msingi ni hii, kama vile inavyokuwa madalali wa magari au vitu vingine unakuta mwenye mali anakubaliana na dalali kuhusu malipo yake baada ya kazi.
Lakini kwa upande wa nyumba za kupanga ni tofauti, mpangaji ndiye anaumia zaidi. Utakuta nyumba inapangishwa laki mbili kwa mwezi, halafu lazima iwe miezi 6 na mbaya zaidi mpangaji anatenga laki mbili ya kumlipa dalali.
Swali langu ni hili, kwanini si sahihi mwenye nyumba kumlipa dalali badala ya mpangaji?
Hoja yangu ya msingi ni hii, kama vile inavyokuwa madalali wa magari au vitu vingine unakuta mwenye mali anakubaliana na dalali kuhusu malipo yake baada ya kazi.
Lakini kwa upande wa nyumba za kupanga ni tofauti, mpangaji ndiye anaumia zaidi. Utakuta nyumba inapangishwa laki mbili kwa mwezi, halafu lazima iwe miezi 6 na mbaya zaidi mpangaji anatenga laki mbili ya kumlipa dalali.
Swali langu ni hili, kwanini si sahihi mwenye nyumba kumlipa dalali badala ya mpangaji?