2025 kwa nini kote huko?Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Kwani hiyo haki yake ya binadamu inatuhusu nn sisi watanzania?Mmoja wapo anatuhumiwa kujihusisha Na mambo ya 'haki Za binadamu' Na Mwingine anajiona kila kitu anajua
Unapenda watoto wetu wa kiume wawe mabwabwa?Fatuma Karume...
T.lissuTanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
[emoji1] [emoji2] Funguka mzee ANATUHUMIWA KUJIHUSISHA NA MAMBO YA HAKI ZA BINADAMU[emoji3] [emoji1] [emoji2] AITMBA NJOOOOMmoja wapo anatuhumiwa kujihusisha Na mambo ya 'haki Za binadamu' Na Mwingine anajiona kila kitu anajua
Fatuma Karume wa jimbo la VunjoFatuma Karume...
Alikauwa nzee Nkapa!Ivi kale kautaratibu ka kupasiana kaliishia wapi
Visiwani vs bara
Mkristo vs muislam.
Alikauwa nzee Nkapa!
Ukiondoa mapungufu madogo magu kapiga kazi kubwa kwa kipindi chake kidogo alicho madarakani,ingependeza ss awekeze pia kwenye sekta ya afya na elimu kwa nguvu kubwa km alivyowekeza kwenye miundombinuMungu ampe umri mrefu raisi wetu kama miradi ya miaka 30 kaifanya kwa miaka mitatu basi atawale milele kama sultan suleyman kan
Idiot. Idiot. Pumbavu. Zama hizi si za kuangalia dini. Dkt Magufuli alionwa anafaa kuwa rais kabla hata ya kuchukua fomu. System haina dini, system haitambui unaenda msikitini mara ngapi, uadilifu haujali dini, dini yako ni ya kwako tu. Dkt Magufuli alichaguliwa na watu wa dini zote na wasiokuwa na dini. Hivyo usitegemee eti rais aje achaguliwe kwa sababu ni muislamu. Hata mh. kigwangala au yeyote anahitaji kukidhi viwango vya uadilifu, mfano huyo kigwangala si muafilifu mpaka dk hii keshapoteza he will never ever become presida kwa sababu ya kukosa uadilifuNext atakuwa RAISI MUISLAMU. Waislamu wana imani sana
Na yakimkuta leo make sio malaika."Hakuna" huyo ni hadi mauti yatakapo mkuta..
KWANI URAIS WA ZANZIBAR HAUWATOSHI?Tufanyaje ili wazenji na sisi tupate Rais jamhuri ya Muungano?
TUNDU ANTIPAS MGWAI LISUTanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Fatuma Karume wa jimbo la Vunjo
Uangalieni kwanza huo muungano ni wenu??Tufanyaje ili wazenji na sisi tupate Rais jamhuri ya Muungano?