Idiot. Idiot. Pumbavu. Zama hizi si za kuangalia dini. Dkt Magufuli alionwa anafaa kuwa rais kabla hata ya kuchukua fomu. System haina dini, system haitambui unaenda msikitini mara ngapi, uadilifu haujali dini, dini yako ni ya kwako tu. Dkt Magufuli alichaguliwa na watu wa dini zote na wasiokuwa na dini. Hivyo usitegemee eti rais aje achaguliwe kwa sababu ni muislamu. Hata mh. kigwangala au yeyote anahitaji kukidhi viwango vya uadilifu, mfano huyo kigwangala si muafilifu mpaka dk hii keshapoteza he will never ever become presida kwa sababu ya kukosa uadilifu
I prefer Hussein Mwinyi
Sikiliza, zama hizo zilishapita ndugu yangu. Kulikuwa nakautaratibu ka Zenj vs Bara, JK alikavunjilia mbali. Baada ya hapo sasa hivi na siku za usoni rais ataandaliwa na watu wa system, atafanyiwa vetting kwa miaka yote 10, kila anayestahili atafanyiwa vetting bila kujali kabila wala dini, anayeruka na kukizi vigezo ndiye anakuwa rais upende usipende. Wewe ka muislamu imekula kwako, sasa Tz inahitaji maendeleo hatuhitaji dini, dini ni matokeo ya mtu binafsi, hata akionekana mtu asiye na dini akapita vetting ni sawa. Kwahiyo pole sana mjahidina wa kibiti1 Nyerere= kristo
2 Mwinyi= Muslim
3 Mkapa= kristo
4 Kikwete= Muslim
5 Magufuli= kristo
6 ?? Next Muslim, hii post siifuti na ndio itakuwa shahidi. Labda wabadilishe katiba.
Ivi kale kautaratibu ka kupasiana kaliishia wapi
Visiwani vs bara
Mkristo vs muislam.
Imani ya nini?
Sikiliza, zama hizo zilishapita ndugu yangu. Kulikuwa nakautaratibu ka Zenj vs Bara, JK alikavunjilia mbali. Baada ya hapo sasa hivi na siku za usoni rais ataandaliwa na watu wa system, atafanyiwa vetting kwa miaka yote 10, kila anayestahili atafanyiwa vetting bila kujali kabila wala dini, anayeruka na kukizi vigezo ndiye anakuwa rais upende usipende. Wewe ka muislamu imekula kwako, sasa Tz inahitaji maendeleo hatuhitaji dini, dini ni matokeo ya mtu binafsi, hata akionekana mtu asiye na dini akapita vetting ni sawa. Kwahiyo pole sana mjahidina wa kibiti
Zanzibar ni nchi au mkoa?Tufanyaje ili wazenji na sisi tupate Rais jamhuri ya Muungano?
Sultani? Au yule wa kwenye tamthilia AzamMungu ampe umri mrefu raisi wetu kama miradi ya miaka 30 kaifanya kwa miaka mitatu basi atawale milele kama sultan suleyman kan
Ninaamini siyo kusudi mchokoza mada kutaka rais Magufuli awe madarakani miaka 30 au zaidi. Kwa sababu hata kama hilo linaweekana hawezi kuwepo kwa muda wote ambao Tanzania itakuwepo hapa duniani. Naamini kuwa nia yake ni kutufanya watanzania tufikirie critically ni mfumo gani uwepo ambao utatuwezesha kupata rais mwingine kama Magufuli baada yake. Naomba wale wenye kumtakia mema mama Tanzania tusaidiane kukuna vichwa vyetu tupate ufumbuzi wa mada hii. Wale wengine wanaokerwa na "udikteta" wa Magufuli nawaomba wawe waungwana wawe watazamaji na wasikilizaji tu kwa vile tunayajua tayari maoni yenu.Sultani? Au yule wa kwenye tamthilia Azam
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Tunataka Baniani next time Magolo ni shida tu...1 Nyerere= kristo
2 Mwinyi= Muslim
3 Mkapa= kristo
4 Kikwete= Muslim
5 Magufuli= kristo
6 ?? Next Muslim, hii post siifuti na ndio itakuwa shahidi. Labda wabadilishe katiba.
Tunataka Baniani next time Magolo ni shida tu...
Tunataka Baniani next time Magolo ni shida tu...
Mh..[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji15][emoji848]2015: Tunataka Rais mchapakazi na mkali hata akiwa mwizi poa tuuu.
2020: Tunataka Rais ambaye sio mwizi hata akiwa sio mchapakazi poa tuu.
2025: Tunataka katiba ambayo itaondoa cheo cha Rais.