Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Umefika wakati wa kuwa na chombo ambacho kitakuwa kinapokea malalamiko yanayohusu Jeshi la Polisi. Hatuwezi kuendelea namna hii wakati kila wakati Polisi wanaua raia wasio na hatia na hakuna chombo maalumu cha kuchunguza nyendo zao na kuwawajibisha. Hawawezi kuendelea namna hii, tabia ambayo wameonyesha ni lazima sasa kabla ya uchaguzi ujao ifanyike kuwe na chombo cha kuwasimamia kuona wanafanya kazi ambayo wanalipwa na walipa kodi wa nchi hii.
Hata nchi zilizoendelea kama Wingereza wana chombo chao IPCC ambacho kinapokea malalamiko yanayohusu jeshi la polisi. Lazima wafanye kazi kwa haki bila ubaguzi kwa raia wote wa nchi hii.
Hata nchi zilizoendelea kama Wingereza wana chombo chao IPCC ambacho kinapokea malalamiko yanayohusu jeshi la polisi. Lazima wafanye kazi kwa haki bila ubaguzi kwa raia wote wa nchi hii.
The Independent Police Complaints Commission (IPCC) oversees the police complaints system in England and Wales.
It is independent, making its decisions entirely independently of the police, government and complainants.. .... ..