Nani anatoka Marekani kuja kutibiwa Tanzania?

Hakuna kisichoshindikana kwani hao watu wa marekani wana uspesho upi kutofautisha na binadamu wengine? Basi wangekua hawafi basi
 
Labda wale wa imani za jadi, nafikiri huwa wanarudi nyumbani kujifukiza!
 
Nimesikia Bush ana mapango wa kuja kupata operation ya busha JKCI pale mwaka huu mwezi wa 10... Ni tetesi tu lakini naamini Rais ana vyombo na taarifa zaidi kuliko mimi na wewe.
 
Hakuna kisichoshindikana kwani hao watu wa marekani wana uspesho upi kutofautisha na binadamu wengine? Basi wangekua hawafi basi
Wale hawafi kienyeji kama hapa kwetu, ndo maana kiwango cha kawaida cha umri wa kuishi, Marekani ni miaka 96 kwetu miaka 52!
 
Jamaa Una Piga kimomboo!
 
Wonders never cease, my friend.

Amandla...
 
Hiyo NCHI inavyo pigiwa Dube AMERICA nenda sasa ndio utajua yakwamba LEMON ni ndimu au Chungwa.

Naweza kesumea AMERICA ndio Nchi ya hovyo among the western countries ni NCHI ambayo wenyewe wa wanakamsemo ...If you work hard you will archive the AMERICAN DREAM, but in a reality your will experience AMERICAN HELLFIRE.

f@ck white previllage....f@ck white supremacy .....f@ck y' all KAREN.
 
Kubwa kuliko ni pamoja na Rais wa Kuwait ni Saddam, siku ina masaa 48 na Tunajenga kwa pesa zetu wenyewe
MATAGA wanapambana sana kumchafua huyu mama. Nyani Ngabu umesahau babako alisema anataka wazungu wavae mitumba kutoka TZ?😁😁
 
Unawajua hao Wamarekani wanaofanya hivyo?
 
System ya insurance ya marekani ni shiiida .UK ndo Wana healthcare nzuri so kama ni mmrekani mmatumbi kaamua kuja Kula matunda ya alikotoka Kwa kuogopa gharama za huko nae atahesabiwa ni mmrekani siyo ?
 
Bila shaka atakuwa anawasema watu kama wewe ambaye ulilowea Marekani na sasa umerudi nyumbani!
 
Kigwangala akiwa Waziri wa Maliasili na Utalii alisema kwamba teknolojia ya kujifukiza iliyovumbuliwa na Magufuli ni nzuri na inasaidia kutibu korona hivyo itaanzishwa katika hoteli zote za kitalii na itauzwa mpaka nje.

Jibu laweza kua hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…