Umetoa madai bila kuweka ushahidi.
Umeombwa ushahidi, unasema Google!
Good grief!!!
Hayo matunda ni mpiniges ngoja nakuletea pichaNa kiumbe ambae anatoka marekani akaja tibiwa tanzania anakuwa ana matatizo ya akili. Tanzania hii ninayoijua unapeleka mgonjwa unaambiwa dr ambae atamshughulikia mgongwa wako hayupo tusubiri aje?
Bora enzi za JPM nidhamu ya kazi ilikuwepo ma dr muda wote wako kazini, hata mgonjwa akizidiwa dr anakuwepo sio zama hizi ma dr lazima wapigiwe simu.
Juzi mtoto wa wifi yangu alimeza mbegu ya tunda fulani (silijui kwa kiswahili) hilo tunda ni tamu kwa juu ukila utamu ukaisha ndani kunabaki kama ile mbegu ya mparachichi sasa hiyo ndo aliimeza kwa sababu lina ukubwa kama ya yai dogo hakuweza kuimeza ikabana juu kama puani hivi. Mtoto ana 1.3yrs
Mtoto kimbiza dispensary wakasema hawamuwezi, kimbiza hospital nyingine huko ndo walikutana na vituko. Huyo sijui ni ness sijui dr ni mmama wala hakumgusa mtoto. Anauliza kameza nini? Wakataja hilo tunda kwa kiluga chetu wala hakujali alibaki amekaa anauliza hilo ni tunda gani? hakuwaambia chochote.
Mtoto ashavimba pua uso damu zinatoka wakampeleka hospital nyingine ma dr chap wakaanza kazi baada ya muda akapiga chafya kikatoka.
Ati kwa upuuzi kama huu mtu anatoka marekani aje tibiwa tz? Kweli hii dunia ina mambo mengi.
Umeiangalia video?Mleta thread na wanaojadili wote hawajui hata nini kilizungumzwa. Mada yote inepoteza mwelekeo, watu wanajadili kitu ambacho hata hakipo.
Jamanieee, kilichozungumzwa ni kwamba kulikuwa na watu wakiwemo wamarekani hapa hapa nchini ila kutokana na COVID-19 kuwa kwenye peak kubwa na mipaka mingi kufungwa kulikuwa hakuna jinsi iliwabidi hao wamarekani waliopata matatizo kupata tiba hapo JKCI kwasababu hawakuwa na altenative, na huduma zao wao wenyewe waliona ni nzuri tu.
Sidhani kama kuna sehemu wanesema mmarekani katoka huko kaja bongo kutibiwa.
Kwamba kwenye video wamesema kuna wagonjwa wametoka marekani wakiwa mahututi wakaletwa JKCI kwaajili ya matibabu ?Umeiangalia video?
Huyu mama anadanganywa sn sijui kwanini? hapo umesema kweliJuzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 𤣠uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.
Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.
Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.
Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!
Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?
Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.
Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?
Ngumu kuaminiā¦.
Ndiyo, si inakuwa ishapitiwa na wasaidizi wake watatu?Duh!
Kwa hiyo chochote watakachokiweka kwenye hotuba yeye atakisoma tu?
Aisee!
Acha upumbavu wakoTaasisi ya Kikwete, why him? The most corrupt leader of all times, badilisheni jina jamani. Tuwaenzi madakitari wa zamani, siyo Kikwete please!
Umeiangalia video? Hususan sehemu ambayo nimeiwekea time stamp?Kwamba kwenye video wamesema kuna wagonjwa wametoka marekani wakiwa mahututi wakaletwa JKCI kwaajili ya matibabu ?
Hahaha dah... kwamba ushauri wangu hauna mashiko?Wewe Asprin Una ujinga sana!
Watanzania tuwe waelewa,hakuna mahali walisema kwamba mgonjwa alitoka marekani kuja kutibiwa! ila uraia wa mgonjwa alikuwa mmarekani nini cha kushangaza hapo ndugu zangu? kitu cha kawaida sana yani. Lipo tukio la waziri mmoja wa Afrika kusini alipatwa na tatizo la moyo akiwa hapa nchini kama sikosei ilikuwa wakati wa mkutano wa SADEC kwa hali ilyokuwepo alikuwa anahitaji upasuaji wa dharula na ikabidi ufanyike hapa JK kwa mafanikio mazuri kabisa,kwenye list ya wagonjwa waliowahi kufanyiwa upasuaji pale wataandikaje? Lazima kumbukumbu zisome uraia wake sahihi,kafikaje hilo ni suala jingine. Tukazeni buti tu wapendwa yapo maendeleo makubwa kwenye hiyo sekta tujikubari hakuna tatizo,Juzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 𤣠uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.
Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.
Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.
Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!
Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?
Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.
Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?
Ngumu kuaminiā¦.
Umesikiliza alichosema? Umeangalia video?Watanzania tuwe waelewa,hakuna mahali walisema kwamba mgonjwa alitoka marekani kuja kutibiwa! ila uraia wa mgonjwa alikuwa mmarekani nini cha kushangaza hapo ndugu zangu? kitu cha kawaida sana yani. lipo tukio la waziri mmoja wa Afrika kusini alipatwa na tatizo la moyo akiwa hapa nchini kwa hali ilyokuwepo alikuwa anahitaji upasuaji wa dharula na ikabidi ufanyike hapa JK kwa mafanikio mazuri kabisa,kwenye list ya wagonjwa waliowahi kufanyiwa upasuaji pale wataandikaje? Lazima kumbukumbu zisome uraia wake sahihi,kafikaje hilo ni suala jingine. Tukazeni buti tu wapendwa yapo maendeleo makubwa kwenye hiyo sekta tujikubari hakuna tatizo,
Ndio kwani TOMASO aliishia tu yule wa wakati wa YESU? hata yeye anaweza kuwa Tomaso tu kama tuliomo humu wa mpaka nishuhudie kwa macho yangu.Umesikiliza alichosema? Umeangalia video?
Namfahamu colleague mmoja Mtanzania ni diabetic ana Green Card ya USA. Japo hakuja MNH lakini kafanya comparisons kati Bei ya USA, India akaona bora kuja Tz.Juzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 𤣠uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.
Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.
Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.
Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!
Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?
Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.
Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?
Ngumu kuaminiā¦.
Kuanzia dakika ya 12:49 Samia kasemaje?Ndio kwani TOMASO aliishia tu yule wa wakati wa YESU? hata yeye anaweza kuwa Tomaso tu kama tuliomo humu wa mpaka nishuhudie kwa macho yangu.
Wanafanya wapi hiyo? Sehemu nyeti zinachanjwa? Woooik, utalii wa Afya huo. Kweli tanzania tuna akili ya nzi,Wanakuja wengi sana kwa tiba hasa zile za kupikwa kwenye yale mavyungu makubwaaaaaa unapikwa maji yanachemka lakini huungui, yani wapo wengi sana , bila kusahau kuchanjwa chale za sehemu nyeti kama zoteee mijitu mishirikina bwana.
Ni ushauri wa nguvu za ugoro!Hahaha dah... kwamba ushauri wangu hauna mashiko?