Marando alipowataja Kikwete, Mkapa na Lowasa na Rostam kuwa ndo wahusija wakuu ktk wizi wa EPA, Makamba, Tido Mhando na watangazaji wa TBC wakatwambia Marando na Chadema wanatukana. Zitto alipouponda mkataba wa buzwagi bungeni CCM walimtimua wakatwambia Zitto kasema uwongo. Dr. Slaa aliposema bungeni watukufu wa nchi wametuibia BOT, kina Sitta na Kingunge wakatwambia tumpuuze Slaa eti anatudanganya. Tundu Lissu alipotwambia akina Kikwete na wapora madini wamewauwa ndugu zetu wasukuma ili wapole madini, wakatwambia Lissu mchochezi wakamweka ndani. MI NAULIZA, IVI NI NANI HASA MTUKANAJI?????!!