Nani anatumia app ya clubhouse?

Nani anatumia app ya clubhouse?

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Kwa anaetumia clubhouse tupe mrejesho.

Je ni nzuri? User friendly?
 
Clubhouse ni nzuri na kipengele kinachoipa ushindi ni uwezo wa kuchati kwa sauti, bei yake huanzia $8.50 kwa mwezi, kwa kila mtumiaji. Kuna toleo la bure pia. Kwa sasa Clubhouse inapatikana kwa watumiaji wa iOS.

Clubhouse WebxiOS.png


Kwa watumiaji wa Android kuna majaribio machache yanaendelea, tukitazamia kufikia matumizi.

Tazama maelezo ya huduma na mambo yanayohusu Clubhouse hapa👇 https://www.getapp.com/project-management-planning-software/a/clubhouse/features/

Clubhouse Alternative unazoweza kutumia ni Discord




Na hivi sasa kuna majaribio makubwa yanaendelea ya Twitter Spaces hii Twitter Spaces itakuwa na functionality nzuri na nyingi zaidi.
 
Hii mpaka upate invitation kwa anayeitumia tayari
Na ipo kwa ios tu
 
App zote kubwa kubwa na maarufu uanzia iOS ndo maana uwa nashangaa mashabiki wa kufa wa android ambao wanadai Kuna apps eti watu wa iPhone wanakosa 😂😂😂😂 hata WhatsApp ilianzia iOS.
Sijavitumia lakini nilichek YouTube inaelekea inatake over kwa kimbunga
 
App zote kubwa kubwa na maarufu uanzia iOS ndo maana uwa nashangaa mashabiki wa kufa wa android ambao wanadai Kuna apps eti watu wa iPhone wanakosa 😂😂😂😂 hata WhatsApp ilianzia iOS.
Sijavitumia lakini nilichek YouTube inaelekea inatake over kwa kimbunga
Sidhani! sema 50/50 huanzia Android/iOS. Binafsi situmii Android sababu ya "iOS wanakosa apps" bali sioni jipya au la zaidi iOS.

Nadhani wengi walio katika battle hiyo ni uwezo wa kumiliki au uelewa wa matumizi.
 
Sidhani! sema 50/50 huanzia Android/iOS. Binafsi situmii Android sababu ya "iOS wanakosa apps" bali sioni jipya au la zaidi iOS.

Nadhani wengi walio katika battle hiyo ni uwezo wa kumiliki au uelewa wa matumizi.
Mkuu apps nyingi mashuhuri zimeanzia iOS kuanzia WhatsApp, Instagram, Snapchat na nyingine zimeanzia iOS ndipo zikaja android.
Mimi kwasasa natumia android ila ni fan wa iOS na MacOs
 
Mkuu apps nyingi mashuhuri zimeanzia iOS kuanzia WhatsApp, Instagram, Snapchat na nyingine zimeanzia iOS ndipo zikaja android.
Mimi kwasasa natumia android ila ni fan wa iOS na MacOs
Sababu kubwa inachagizwa na sehemu anzilishi, aplikesheni nyingi maarufu ni zao la Marekani, EU na Canada sehemu ambazo iOS ni mwanzo au traditional kwao. | WhatsApp, Instagram, Snapchat na Clubhouse.

Ni sawa na Afrika (Tanzania, Afrika Kusini, Nigeria, Masr, Ghana, Morocco, Pwani Ndovu, Cameroon na Angola) aplikesheni nyingi zinaanza Android sababu ndio mwanzo/traditional. | Nala Money, M-Pesa, Boomplay Music, ShowMax.

Sababu zipi zinakufanya fan wa iOS na MacOs?
 
Sababu kubwa inachagizwa na sehemu anzilishi, aplikesheni nyingi maarufu ni zao la Marekani, EU na Canada sehemu ambazo iOS ni mwanzo au traditional kwao. | WhatsApp, Instagram, Snapchat na Clubhouse.

Ni sawa na Afrika (Tanzania, Afrika Kusini, Nigeria, Masr, Ghana, Morocco, Pwani Ndovu, Cameroon na Angola) aplikesheni nyingi zinaanza Android sababu ndio mwanzo/traditional. | Nala Money, M-Pesa, Boomplay Music, ShowMax.

Sababu zipi zinakufanya fan wa iOS na MacOs?
Napenda ecosystem yao, smooth, iOS kuformat sim sjui Ina run slow ni nadra Sana same to MacOs na kufanya clean installation ya OS.
Ila naona windows 10 ni stable Sana pia nna PC mwaka 2 haijasumbua
 
Napenda ecosystem yao, smooth, iOS kuformat sim sjui Ina run slow ni nadra Sana same to MacOs na kufanya clean installation ya OS.
Ila naona windows 10 ni stable Sana pia nna PC mwaka 2 haijasumbua
Safi!, binafsi ni mtumiaji wa Android na Windows. Kwangu heshima ni UI, module ya processing na stability. Windows 10 it's definitely the best innovation. Let's see Windows X itakuwaje!
 
Safi!, binafsi ni mtumiaji wa Android na Windows. Kwangu heshima ni UI, module ya processing na stability. Windows 10 it's definitely the best innovation. Let's see Windows X itakuwaje!
Inakuja windows x so tunafanya updating tu hakun clean installation? How is Microsoft making money maana nadhan kwasasa Kama una genuine window ni kuupdate tu bure Kama os za simu vile
 
Inakuja windows x so tunafanya updating tu hakun clean installation? How is Microsoft making money maana nadhan kwasasa Kama una genuine window ni kuupdate tu bure Kama os za simu vile
Sijafahamu vizuri tutafanya updation au clean installation! Lakini Windows X ipo inasukwa na muda wowote itakuwa hewani. Inatazamiwa itakuwa na maboresho zaidi, mifumo na features mbalimbali.
 
Sijafahamu vizuri tutafanya updation au clean installation! Lakini Windows X ipo inasukwa na muda wowote itakuwa hewani. Inatazamiwa itakuwa na maboresho zaidi, mifumo na features mbalimbali.
Ahadi baada ya windows 10 ilikuwa tutakuwa tuna update tu hakuna Tena mambo ya kutoa windows ya zaman kuweka mpya hiyo ndiyo ilikuwa ahadi
 
Ahadi baada ya windows 10 ilikuwa tutakuwa tuna update tu hakuna Tena mambo ya kutoa windows ya zaman kuweka mpya hiyo ndiyo ilikuwa ahadi
Hapa ni moja kwa moja tutafanya update kutoka Win10 to WinX.
 
Nahs hvyo huenda Microsoft wangekomaa na windows phone huenda Sasa hv wangeshaanza kunasa soko
Hakika! Naamini bado wanayo nafasi hata kwa Windows Phone, wakijipatia soko la watu million 300 inatosha, litazidi kujitanua.
 
Back
Top Bottom