Nani anatuwakilisha mkutano wa G7

Nani anatuwakilisha mkutano wa G7

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Kama mnavyojua mkutano wa mataifa tajiri duniani (G7) umeanza huko Italy. Mataifa hayo ni Italy (Mwenyeji) Germany, France, USA, UK, Japan na Canada wanakutana kujadili mustakabali wa dunia. Je, nasi tunawakilishwa na nani huko? Ilikuwa fursa muhimu kupeleka agenda/ombi maalum huko, tupate mikopo.

NB: marafiki zetu wa-China na Korea wao tunawamudu
 
Kama mnavyojua mkutano wa mataifa tajiri duniani (G7) Italy, Germany, France, USA, UK, Japan na Canada wanakutana huko Italy. Je nasi tunawakilishwa na Nani huko? Ilikua fursa muhimu kupeleka agenda/ombi maalum huko, tupate mikopo.
Ruto yupo anawakilisha Africa mashariki😎
 
Ila wenyewe sijawahi ona wakituma wawakilishi!
 
Kama mnavyojua mkutano wa mataifa tajiri duniani (G7) umeanza huko Italy. Mataifa hayo ni Italy (Mwenyeji) Germany, France, USA, UK, Japan na Canada wanakutana kujadili mustakabali wa dunia. Je, nasi tunawakilishwa na nani huko? Ilikuwa fursa muhimu kupeleka agenda/ombi maalum huko, tupate mikopo.

NB: marafiki zetu wa-China na Korea wao tunawamudu
Aisee
Dunia inabadilika sana.

Uelekeo sasa ni Asia na Russia
 
Kama mnavyojua mkutano wa mataifa tajiri duniani (G7) umeanza huko Italy. Mataifa hayo ni Italy (Mwenyeji) Germany, France, USA, UK, Japan na Canada wanakutana kujadili mustakabali wa dunia. Je, nasi tunawakilishwa na nani huko? Ilikuwa fursa muhimu kupeleka agenda/ombi maalum huko, tupate mikopo.

NB: marafiki zetu wa-China na Korea wao tunawamudu
Unajua maana ya G 7?
 
Kama mnavyojua mkutano wa mataifa tajiri duniani (G7) umeanza huko Italy. Mataifa hayo ni Italy (Mwenyeji) Germany, France, USA, UK, Japan na Canada wanakutana kujadili mustakabali wa dunia. Je, nasi tunawakilishwa na nani huko? Ilikuwa fursa muhimu kupeleka agenda/ombi maalum huko, tupate mikopo.

NB: marafiki zetu wa-China na Korea wao tunawamudu

Si mpaka tualikwe .... Siyo kila nchi inaalikwa.
 
Kwa hiyo BRICS hawana lengo la industrialization ila ni dolarisation tuu si ndio? 😂😂

Acha vichekesho,ndio maana unaona wameunda Mabenki ya kuwa Mbadala ya mabenki ya kimagharibi
Malengo mengine yapo lakini what dominates the scene currently ni de-dollarization. Kumbe nimechekesha kuliko wewe!
 
G7 wanakaa matajiri kugawana resources za Africa na maskini wengine...
Sasa wewe unaenda kufanya nini?
Utachangia nini pale?
 
Kama mnavyojua mkutano wa mataifa tajiri duniani (G7) umeanza huko Italy. Mataifa hayo ni Italy (Mwenyeji) Germany, France, USA, UK, Japan na Canada wanakutana kujadili mustakabali wa dunia. Je, nasi tunawakilishwa na nani huko? Ilikuwa fursa muhimu kupeleka agenda/ombi maalum huko, tupate mikopo.

NB: marafiki zetu wa-China na Korea wao tunawamudu
TZ iende ikafsnye nini?labda iende ikawe kama house girl, au, waiter wa, kuwapa wakubwa chai!
Jana Umoja wa ulaya, umeipa, ukraine mkopo wa, tilioni 135Tsh! Hizo, zinatosha kulipa Deni letu tunalodaiwa kwa, miaka 60! Tilioni 65! Na pesa, inabaki ya kula kwa, miaka miwili, bila kenge wa, ccm kututoza Kodi!
Samia, na, ccm take, wao, level yao waende EFM wakacheke na mwijaku na machawa wengine, Mambo ya G7, BRIC, tuwaachie wakubwa, Kenya, Nigeria, South Africa, na, Egypt, sie hata SADC inaanza kutuchoka, walikuwa, wanatuona kama big brother, wa kukimbilia wakati wa, shida, za, usalama, uchumi, nk,lakini sasa hv, hata jwatz inaogopa magaidi waliovaa kandambili kule msumbiji, what a shame! Ukiwaona hapa, mjini na combat zao, wanaona wameyapatia maisha, kumbe, hata panyarods tu wanawatoa jasho, rejea yule captain aliyeuliwa na bodaboda kwa kudumgwa kisu!
 
Back
Top Bottom