Nani anauelewa zaidi kuhusu Nafasi za kazi za shirika la ILO ALMAARUFU KAMA "KAZI NJE NJE"?

MCHUMIPESA

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
2,088
Reaction score
259
Hivi nafasi wanazozitangaza zinawasaidia vipi vijana ktk kujikwamua kimaisha?.Je kuna ukweli wowote?.Naomba kwa yule yeyote anayefanya kazi kwenye hili shirika tena kwenye kazi nje nje atujuze.Asanteni karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…