M MCHUMIPESA JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 2,088 Reaction score 259 Jun 18, 2012 #1 Hivi nafasi wanazozitangaza zinawasaidia vipi vijana ktk kujikwamua kimaisha?.Je kuna ukweli wowote?.Naomba kwa yule yeyote anayefanya kazi kwenye hili shirika tena kwenye kazi nje nje atujuze.Asanteni karibuni
Hivi nafasi wanazozitangaza zinawasaidia vipi vijana ktk kujikwamua kimaisha?.Je kuna ukweli wowote?.Naomba kwa yule yeyote anayefanya kazi kwenye hili shirika tena kwenye kazi nje nje atujuze.Asanteni karibuni