wakuu heshima kwenu,kuna hii NGO inaitwa HIGHER LEARNING STUDENT SUPPORTING FUND wanajitangaza kuwa wanatoa mikopo kwa elimu ya juu,kuna mtu ambae amekwisha nufaika na mikopo yao?au ni wajanja flani.natangulza shukrani.
fungua website yao..........wameandika majina kadha wa kadha ya watu waliopata mikopo kwa mwaka huu japo ninashaka kidogo kama majina walioyatoa sio ya kubuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.