Uchaguzi 2020 Nani anayebisha kuwa Serikali ya Magufuli ilijaa uonevu?

Uchaguzi 2020 Nani anayebisha kuwa Serikali ya Magufuli ilijaa uonevu?

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Nasema imejaa uonevu kupitia kupita maelezo kwa sababu ya haya;

1. Watumishi wa umma kutopandishwa madaraja kwa wakati na wala ndani ya miaka 5 hapakuwa na increments kwa mujibu wa sheria.Watumishi zamani walikua wanapandishwa madaraja baada ya miaka 3, kwa sasa mpaka miaka 5-7 ndio wanamfikiria mtu.

2. Mafao, Watumishi au wafanyakazi wanacheleweshewa madai yao kila siku wanazungushwa. Waliofukuzwa kwa vyeti feki pamoja na sheria inasema kua lazima warudishwe stahiki zao hawakulipwa hata senti. Fao la kujitoa ilishaingizwa sheria kali hadi watu wafikie zaidi ya miaka 50, mzee baba kasema itaanza kufanya kazi baada ya 2021, huu sio uonevu ni nini?

3. MIKOPO ELIMU YA JUU
Ubaguzi mkubwa na ukiritimba na toka eneo hili, Imepandishwa kibabe kutoka 8%-15% bila ridhaa ya wanufaika kinyume na sheria. Waliosoma shule private hawatambuliki utafikiri hizo pesa wanapewa bure sio mkopo. Wakati JK alikua haangalii mtu kasoma wapi wala umri wake, kikubwa ilikua mtu akope asome kisha arejeshe. Huu wa sasa ni uonevu mkubwa.
 
5. Watumishi wa umma waliogombea nafasi za uongozi kupita CCM wamekatwa Mishahara miezi miwili,na kuachia madeni ya bank walitokuwa wamekosa kupitia mishahara Yao.
6. Uongozi wa juu,makatibu wakuu,mawaziri , DC, RC, wakurugenzi wa bodi mbalimbali wengi wao amesoma nao.
7.Kila mradi wa maendeleo. Mfano barabara lazima somber fedha au aseme yeye.
8.Halmashauri hazina fedha tena watumishi wamekuwa omba omba
9. Bunge halina kazi tena fedha na bujeti anampanga yeye.
10. Mkoa wa manyara kwa miakaitano ya utawala wake haijawahi kupewa mradi wa maendeleo hata mmoja.
11. Wananchi hawana fedha hata kidogo wamekuwa omba omba.
 
Uonevu wa kutisha wafanyabiashara pia kubambikiwa madai kodi za miaka nyuma unaandikiwa bill uthibishe malipo kodi za nyuma ambapo mfumo ulikuwa analogia, huku ikiambatana na zuio akaunti yako pin kutoa chochote. Na mbaya zaidi mkuu kufanya dhihaka ".... Pesa zipo nyingi najua zilipo... nakamua mafisadi..." kweli tunafikia hatua hii!????
 
Back
Top Bottom