Hao uliowataja hapo wamechukua form za kugombea?au wamekwambia wanataka kugombea?Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
Sidhani kama kuna mtu hapo anafikiria kugombea uongozi Yanga ,wote wanawazia UbungeBaada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
Sera zako zimepitwa na wakati wewe badala ya kusema utasaidia nini YANGA kuwa timu yenye kujitegemea na kuwa timu tishio katika AFRICA unawaza kuifunga SIMBA!!!Hao uliowaweka ulitumia vigezo gani?Je wameshachukua form au kutangazwa kihalali na kamati ya uchaguzi kama wagombea? Acha zengwe wewe!
Ni Muhidini Ahmad Ndolanga badala ya Rashidi.
Wote hawafai isipokuwa mimi ambaye nitajitokeza rasmi kugombea na kutoa sera zangu kwani simba hatuwawezi siku hizi.Nitakachofanya nikiingia Yanga ni kuhakikisha tunaanza kuwafunga simba ambao wanatufunga sana siku hizi.
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
Mchagueni Manji
Umeshalewa weweLipumba
Umeshalewa wewe
Boniface Ambani 😀Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??
Unaichuria klabu yetu!!!!!1 kwi kwi kwi kwi kwiYusuf Mzimba........! ooops sorry thought nipo Msimbazi!