age yako tafadhwali...:evil:
balaa! Nadhani ni rahisi kujua umri wake. Haya maswali zamani yalikuwa yanaulizwa na watoto wa form two. Siku hizi yanaulizwa na watoto wa darasa la sita. Watoto walio darasa la sita kama alianza darasa la kwanza akikwa na miaka saba leo hii atakuwa na miaka mingapi?
balaa! Nadhani ni rahisi kujua umri wake. Haya maswali zamani yalikuwa yanaulizwa na watoto wa form two. Siku hizi yanaulizwa na watoto wa darasa la sita. Watoto walio darasa la sita kama alianza darasa la kwanza akikwa na miaka saba leo hii atakuwa na miaka mingapi?
Du kweli tumwache angiziwe na atapikiwe atatupa jibu anajifanya anapajua jikoni au kupika umri unamsumbuahebu jaribu nawe kuingiziwa then utapata jibu...............
Atajijuuuuuu!!!Du kweli tumwache angiziwe na atapikiwe atatupa jibu anajifanya anapajua jikoni au kupika umri unamsumbua