Kwa akili zao fupi, wanadhani foleni ya Aal hadan Mwinyi road inasababishwa na sarenda bridgeHata Mimi huwa sipati picha watawala wetu wanawaza nini? Hivi Kuipanua Ally Hassani Mwinyi kuwa njia nne kila upande si ingekuwa option nzuri zaidi kuliko kujenga hili Daraja uchwara?tena daraja lenyewe ni two lanes
MKUU lile daraja unaloliona pale SALENDER ni foundation ya ujenzi wa daraja husika aMbalo hayo ndio majukwaaDaraja. unachokiona ni jukwaa sio daraja lenyewe husika bado halijaanza.Ukipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
Kituo kinachofuata naomba nishukeUkipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
We jamaa huna akili. Kwa h8yo kama serikali inahamia dodoma ndio dar isijengwe? Alafu unadhani hao mabalozi watahamia kesho au kesho kutwa? Bado sana dodoma.Ukipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
sasa si wangepanua salender Bridge na barabara pia-anyway ndo ccm yetu hiyoKwa akili zao fupi, wanadhani foleni ya Aal hadan Mwinyi road inasababishwa na sarenda bridge
Mji Usio na airport ni balozi gani ataenda_mimi naamini Rais ajaye atairudisha Serikali DarWe jamaa huna akili. Kwa h8yo kama serikali inahamia dodoma ndio dar isijengwe? Alafu unadhani hao mabalozi watahamia kesho au kesho kutwa? Bado sana dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
bogus stuffUkipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
Nenda kalione daraja linalozungumziwa, kwanza liko mbali sana na Cocobeach na pia ni karibu sana na daraja la Salenda.Ndo umeandika nini ndugu? Kama huoni umuhimu wa hilo daraja basi utakuwa ni taahira
Tunajenga kwa kuwa tunayaona kwenye Cinema au kwa kuwa tunayahitaji?Nyie mashabiki mbuzi vipi tena?Tena aendelee kuaweka mengi tu, mbona hatuna mengi kihivyo, kwenye sinema twayaona kwa wenzetu, waliosafiri ughaibuni wanadai usiseme, kule yapo chungu tele, kweli watanzania hatuna shukrani...
Au wangeboresha magomeni au kigogo maana huko ndio kuna traffic kubwa kuliko watu wanaotokea masaki, osterbayDaraja hili halina umuhimu wowote, gharama zake bora wangevunja police surrender na kupanunua lililopo kwani ndio kikwazo. Magari yatokayo oceans yakiungana na mhimbili tayari foleni. Bora wangejenga interchange mchezo ungeisha
Mkataba ulisainiwa na raisi mtukufu jakaya kikwete na serikali ya south korea, nyingine unazosikia ni porojo tuu
Nakubaliana na wewe kwenye suala la interchange hapo stanbic!Daraja hili halina umuhimu wowote, gharama zake bora wangevunja police surrender na kupanunua lililopo kwani ndio kikwazo. Magari yatokayo oceans yakiungana na mhimbili tayari foleni. Bora wangejenga interchange mchezo ungeisha
Hilo ni jiji la kibiashara ,linakua kwa kasi sana,lazima miundo mbinu ianze kujengwa sasa,hakuna ajabu,lengo ni kupunguza misongamanoUkipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
Threads Za Kijinga ambazo Zinaanzishwa na Watu WajingaUkipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
Ni sawa uwe na barabara mbili sasa ufanye upanuzi na kuongeza mbili nyingine, au hauna akili?Ukipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
Wabunge pingeni na kataeni kujengwa kwa Daraja la Juu ya Bahari kutoka Coco Beach to Agakhan
Kwani unadhani dar haina watu?Ukipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi. Hili ndilo daraja la coco beach ambalo limenyanyuka mita chache sana kutoka usawa wa bahari.
Ukiangalia kwa umakini daraja hili basi unajikuta ukijiuliza maswali mengi sana na kama una hasira basi utaishia kutoa lugha za kuudhi kimawazo na hata kwa mdomo.
Unajiuliza ni nini hasa umuhimu wa daraja hili? Unakosa jibu! Unajiuliza ni nani hasa anagharamia? Unaishia kuomba Mungu zisiwe kodi zetu!
Daraja limejengwa pembeni kidogo mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi na hivi karibuni Rais Magufuli na ikulu yake watahamia Dodoma, balozi za Umoja wa Ulaya Canada, China na nyingine zote ambazo labda wao ndiyo hasa walengwa wa daraja hili hawatakuwepo tena.
Unajiuliza kama daraja litatumika kama kivutio cha utalii unarudi unaangalia jinsi ujenzi wake ulivyo, lilivyonyanyuliwa kutoka usawa wa bahari, umbali kutoka daraja hilo na nchi kavu ulivyokaribiana unajikuta ukikasirika tena.
Any way naona sasa tumekuwa "Dona Kantre" kiasi kwamba tunaweza kutumia fedha jinsi tunavyotaka maana zipo nyingi.
Wabunge pingeni na kataeni kujengwa kwa Daraja la Juu ya Bahari kutoka Coco Beach to Agakhan