JF, tangu jana nimeanza kutafakari upya juu ya report za Jerry Muro na kukumbuka umahiri wake katika kutoa habari bila woga, huyu jamaa ni shujaa kama kina Ndimara Tigambwage and Said Kubenea na wengine wachache. Kuna haja ya JF tena kujadili juu ya nani anataka kuizima taa hii na kwa nini? Afunguliwe Mandela....afunguliwe Jerry Moro![/QUOTE
Mimi nilipofatilia habari ya kesi ya huyu jamaa,kwa kufatilia ushahidi wa wale mashahidi nahisi kuna sehemu alijichanganya akajaribu kuchukua rushwa...maelezo ya mashahidi yapo straight forward...........